Kwahiyo hao wafungwa wana thamani kubwa kuliko wapalestina waliouwa?
Yaani ushikilie mateka 200, wauwawe watu wako zaidi ya 12,000 kwasababu ya kukomboa wafungwa wasiozidi 5,000? Uhai wa hao waliokufa unakombolewaje?
Kumbe Israel ile ni nchi yao ila walikuwa wananyang'anywa, sasa mbona Wapalestina wanadai ardhi hiyo ni yao, na Israel kazawadiwa hapa tu karibuni na mwingreza mwaka 1948? Na ndicho wanachokipigania?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Na wewe jiulize kwanini Hamas walipovamia Israel hawakubaki huko huko wawatafute wanajeshi wote wa Israel wawamalize na kuchukua ardhi ya Israel kuwa yao kama ambavyo wanatamani siku zote? Badala yake wakakimbia kujificha kwenye mashimo, sasa hiyo ardhi wataichukua lini kwa style hiyo ya...
Hivi kwanini Hamasi walienda kuvamia Israel na kuondoka haraka si wangebaki huko huko wazidi kuichakaza Israel na kuiteka iwe yao kama ambavyo huwa wanaidai hiyo ni ardhi yao.
Password utaweka tu mkuu, ni suala la muda tu.
Pia mkeo amewezaje kumpa namba huyo mzee, labda cha kukumbusha tu mkeo anakuambia habari za wale aliowakatalia ila wale aliowakubalia au atakaowakubalia hatakuambia.
Ukiona mwanamke anakuambia waliomtongoza jua amegundua kwamba ndizo habari...
Kiufupi tu, anachokifanya huyo jamaa yako si sawa. Haipendezi.
Na kama anakupenda haswa asingethubutu kufanya hivyo, na huyo mtoto sio wa shemeji yake, ni wa kwake mwenyewe!
Kwa kweli mi mwenyewe imenitafakarisha sana tena wanauwezo wa kufanya mpaka ofisi baada ya ibada, hata jamaa anashindwa kuelewa maana kitendo cha kufanyia ofisini ni cha dakika tu wanajikausha, binti anarudi nyumbani kama hajafanya chochote kile.
Japo alisema mchungaji anamega pia rafiki wa huyo...
Jamaa yangu amenieleza jambo nimeshindwa kumjibu chochote nisije nikakosea kumshauri akanilaumu hapo baadae.
Iko hivi, huyu bwana ana mahusiano na msichana wake takribani miezi sita sasa. Anasema anampenda sana huyo msichana na msichana anampenda jamaa sana kiasi kwamba ameshawishika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.