Mimi ni mwanafunzi niko mbeya namaliza chuo mwezi wa 7 tarehe 6 nimeomba ukarani mtwara .Swali langu kutokana na maelezo yako, lazima usahili nifanye sehemu niloomba ?? Na kama ndio naweza fanya usahili huku niliko??
Habar zenu! Nimemaliza diploma mwaka huu, katika process ya kupata AVN kuna sehemu ya kujaza additional qualification swali langu ni kama nina cheti cha form six nikiadd au niache kwa kua nina diploma ...msaada wenu🙏
Habar zenu! Nimemaliza diploma mwaka huu, katika process ya kupata AVN kuna sehemu ya kujaza additional qualification swali langu ni kama nina cheti cha form six nikiadd au niache kwa kua nina diploma ...msaada wenu🙏
hata akikosa si mbaya keshatutangaza vya kutosha wenye roho mbaya mtasanda Sana....wenye wivu haooooo wachonganishi haoooooo....big up naseb Ramadan kareem
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.