M nakushauri what ever chuo utachopangiwa na ukiwa unaenda kwa hiyari yako JICHANGANYE NARUDIA TENA JICHANGANYE NARUDIA TENA JICHANGANYE we kuanzia first year mpaka unamaliza uwe mtu wa mishe mishe yani huku na kule usibweteke UTAKUJA USHUKURU
Asa mtoa uzi how comes unakipindi kila siku per year ni 365 days na kwenye kazi unamkataba wa 10 years au hata 5 years izo hela za kununua let’s say suluali 365 na mashati 365 au magauni 365 ata zitoa wapi kama wewe hujampa [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani somebody ka introduce kazi yake ya kunyoa ayo makwapa kwa moyo wake wote na anaenjoy doing his or her job ww unamsema kwa kazi yake hujawai mpa ata bolilo la azam akanywee chai afu unampondea kazi yake , wewe uyo uyo uje uwaseme watu wako jobless dah BINADAMU BWANA[emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.