Habali wakuu,
Wale wazee wakuponda kila kitu muipotezee tuu hii threads jana bana nikaamua kwenda bmax lounge nikiwa na staff wenzangu watano wa ofisini
Sasa bana maisha haya sometimes tukiwa mitungi kupitiliza shit happen tuna play around. Kuna binti mmoja niliwahi kuruka nae one night stand hapo sasa sina hili wala lile akaninyanyasa kijinsia aisee ha ha
Sasa si ndio jana niko na wafanyakazi wenzangu wengine tunaheshimiana naona kuna mtu yuko nyuma yangu ananigusisha matako nikakausha for hardly 5mns ile nageuka kiaina namkumbuka muuzaji siunajua sasa nikasema duu leo ushenzi wangu utaonekana hapa ha ha
Ilibidi nimuagizie drinks kimya kimya bila hawa wanazengo kujua wazee hawa viumbe sio wakucheka nao anaweza kutia kitumbua mchanga
Tuache tabia hii jamani mbaya ha ha. Wazee wakujifanya wema kumbe mnafanya mambo machafu zaidi ya haya nawasubili na comments zenu ha ha have a lovely sunday ya ll folks.
Wale wazee wakuponda kila kitu muipotezee tuu hii threads jana bana nikaamua kwenda bmax lounge nikiwa na staff wenzangu watano wa ofisini
Sasa bana maisha haya sometimes tukiwa mitungi kupitiliza shit happen tuna play around. Kuna binti mmoja niliwahi kuruka nae one night stand hapo sasa sina hili wala lile akaninyanyasa kijinsia aisee ha ha
Sasa si ndio jana niko na wafanyakazi wenzangu wengine tunaheshimiana naona kuna mtu yuko nyuma yangu ananigusisha matako nikakausha for hardly 5mns ile nageuka kiaina namkumbuka muuzaji siunajua sasa nikasema duu leo ushenzi wangu utaonekana hapa ha ha
Ilibidi nimuagizie drinks kimya kimya bila hawa wanazengo kujua wazee hawa viumbe sio wakucheka nao anaweza kutia kitumbua mchanga
Tuache tabia hii jamani mbaya ha ha. Wazee wakujifanya wema kumbe mnafanya mambo machafu zaidi ya haya nawasubili na comments zenu ha ha have a lovely sunday ya ll folks.