Recent content by gwao

  1. G

    Kiba abeba tuzo ya video bora soundcity Nigeria

    Pop it in papiliiii hiyo ni tuzo yake ya 14 kwa mwaka kwa kweli anastahili maana jamaa ni kipaji kitupu
  2. G

    Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

    Kwan cku hiz mond ndio anaishiwa mashair au ni nin? Sbb eti anaimba "hadith hadith utamu kolea" sasa ndio ukwel mond zama zake ndio znaishia ivyo hii nymbo haipo vzur kabisa
  3. G

    Kubenea ana ugonjwa wa chuki (Uchambuzi)

    Hoja yako ni kuhusu zito sasa na dk slaa ameingia vipi? mtoa mada hoja yako imekosa mashiko sabab unaonekana una jazba na chuki binafsi kwa zito kabwe.
  4. G

    Utajiri wa kutisha tiba mbadala

    Hawa tiba mbadala wanazid kujiharibia wenyewe mwisho wa siku watapoteza imani ya huduma zao kwa wananchi.
  5. G

    Prof. Muhongo: Serikali kununua umeme wa bei nafuu Ethiopia

    Taarifa yenyewe wala sio rasmi na haina hata chanzo halafu watu wanahangaika kuchangia na wengine hadi mapovu yanawatoka ajabu sana aisee!!
  6. G

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Mimi binafs ninaona waliorud kutoka baraza lililopita ni wa 4 ambao ni mwakyembe, J.makamba, M.nchemba na A.kairuki lakini hawa wengne walistahil kurud kwa utendaj wao mzur Mf. ni H.mwinyi, W.lukuvi, S.muhongo wakiongozwa na Rais magufuli, Samia suluhu na Pm kassim majaliwa sabab hata wao ni...
  7. G

    Gazeti la Mwanahalisi linatafuta cha kusema pindi baraza la Mawaziri litakapotangazwa

    Jiongeze mkuu hiyo taarifa siyo rasmi lakin ajabu kwako ww umeifanya ndio rasmi.
  8. G

    Tunapocheka Wanapolia, Tusisahau Tutaacha Kucheka na Kuanza Kulia!

    Nakuunga mkono mkuu kwa upande wangu upo sahihi sana.
  9. G

    Waziri Mkuu Majaliwa aitaka TAMISEMI kujieleza kwanini mabasi yaendayo kasi hayajaanza kufanya kazi

    Hahahaha! mkuu umenifanya nicheke sana! nakuunga mkono na upo sahih lakin nafkir hatupaswi kumhukumu bali tunapaswa kuendelea kumpa nafas muda utaongea.
  10. G

    Hotuba ya Rais Magufuli akifungua rasmi bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Novemba 20, 2015

    Kwa ID yako ulitakiwa uwe makin kwa kila unachokisoma na kuandika maguful amesema na amesisitiza kuwa ataunda mahakama ya rushwa na ufisadi. Umeidhalilisha sana ID yako kwa hiyo jitathimini kisha jichukulie hatua.
  11. G

    Bomoa bomoa yavaa fukwe za Mbezi Beach; Kuacha kilio kwa matajiri wavunja sheria!

    Kwel kabisa mkuu hili suala linapaswa kuzngatiwa na kupewa umuhimu na uzito mkubwa sana.
  12. G

    Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali marufuku

    Mkuu upo sahih sana. Ila wala usipate tabu sana kuhusu la hawa wanaolalamika sabab ukiona hivyo ujue maslahi yao yameguswa ama wao au watu wanaowategemea.
  13. G

    Mapendekezo ya uteuzi wa ubunge wa Viti maalum CHADEMA/UKAWA

    Hivi hiyo ndio hoja ya msing ya kuingia bungen kwel..??? kwa hiyo hata joyce kiria nae aingiee sabab aliipgania sana ukawa!!! Na mange kimambi,wema sepetu,batuli steve nyerere snura ze comedy kitale,stan bakora,king majuto,diamond, barnaba N.K na wao itabid waingie bungen sabab waliipgania sana...
  14. G

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Nipo pamoja na ww mkuu ktk hizo sifa za uchapakaz na ufuatialiaj lakin hayo mengne itabid tu niyaweke pending..!!
  15. G

    Hawa ndiyo vijana wa Lowassa waliokamatwa na Polisi

    Ni kwel kabisa yan humu ilikua ni shida sana hasa ukiwa na mtazamo tofaut na ukawa ilikuwa lazma uoge matus,kashfa na udhalilishaj mkubwa pasipo kujal hoja!!.
Back
Top Bottom