Kwan cku hiz mond ndio anaishiwa mashair au ni nin? Sbb eti anaimba "hadith hadith utamu kolea" sasa ndio ukwel mond zama zake ndio znaishia ivyo hii nymbo haipo vzur kabisa
Hoja yako ni kuhusu zito sasa na dk slaa ameingia vipi? mtoa mada hoja yako imekosa mashiko sabab unaonekana una jazba na chuki binafsi kwa zito kabwe.
Mimi binafs ninaona waliorud kutoka baraza lililopita ni wa 4 ambao ni mwakyembe, J.makamba, M.nchemba na A.kairuki lakini hawa wengne walistahil kurud kwa utendaj wao mzur Mf. ni H.mwinyi, W.lukuvi, S.muhongo wakiongozwa na Rais magufuli, Samia suluhu na Pm kassim majaliwa sabab hata wao ni...
Hahahaha! mkuu umenifanya nicheke sana! nakuunga mkono na upo sahih lakin nafkir hatupaswi kumhukumu bali tunapaswa kuendelea kumpa nafas muda utaongea.
Kwa ID yako ulitakiwa uwe makin kwa kila unachokisoma na kuandika maguful amesema na amesisitiza kuwa ataunda mahakama ya rushwa na ufisadi. Umeidhalilisha sana ID yako kwa hiyo jitathimini kisha jichukulie hatua.
Mkuu upo sahih sana. Ila wala usipate tabu sana kuhusu la hawa wanaolalamika sabab ukiona hivyo ujue maslahi yao yameguswa ama wao au watu wanaowategemea.
Hivi hiyo ndio hoja ya msing ya kuingia bungen kwel..??? kwa hiyo hata joyce kiria nae aingiee sabab aliipgania sana ukawa!!! Na mange kimambi,wema sepetu,batuli steve nyerere snura ze comedy kitale,stan bakora,king majuto,diamond, barnaba N.K na wao itabid waingie bungen sabab waliipgania sana...
Ni kwel kabisa yan humu ilikua ni shida sana hasa ukiwa na mtazamo tofaut na ukawa ilikuwa lazma uoge matus,kashfa na udhalilishaj mkubwa pasipo kujal hoja!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.