Recent content by gwan

  1. G

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia namba ya Tanzania ukiwa nje ya nchi

    Kuna roaming kwa hyo utatumia namba hiyohiyo sema gharama zinakuwa kubwa kdg.
  2. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    hapo inategemeana kama wa kike "mon amie" kama wa kiume "mon ami".
  3. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    C'est génial! Alors je te conseille d'aller plus loin. Tu peux acheter des livres et lire à la maison. Comme ça tu vas arriver à écrire un bon français voire parler.
  4. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    Moi, je l'ai appris normalement à l'école secondaire. Je fais toujours des effort pour améliorer mon niveau. Le problème il n'y a pas beaucoup de locuteurs de cette langue.
  5. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    vilevile ni "désole mon ami" Le français n'est pas facile
  6. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    quelle histoire?
  7. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    c'est une histoire qui reviens sans arrêt!!
  8. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    ça va bien Munkari. et toi
  9. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    bonjour ! comment allez -vous
  10. G

    JamiiForums Tanzania Huyu hapa mtuhumiwa wa bomu Arusha

    Jina tafadhali
  11. G

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya kumchunguza Jairo imeota mbawa?

    tusubiri ijumaa ila inaweza kuwekwa mwishoni baadae utasikia muda umekwisha with no conclusion... kaaz kwelkweli na huyu makinda
  12. G

    JamiiForums Tanzania Abdalah Zombe: CHADEMA wakiongoza nchi nitajinyonga, adai Lema alikuwa mwizi wa magari!

    Zombe jinyonge tu maana hatukutaki hata kukuona.. kama ulijua huo mtandao kwa nini haukumkamata wakati huo.. tena nahisi wewe unahusika na huo mtandao -
  13. G

    JamiiForums Tanzania Kutoka Bungeni:CUF wajitoa Kambi ya Upinzani kwa mnadhimu kukosa sifa

    cuf sio
  14. G

    JamiiForums Tanzania Kutoka Bungeni:CUF wajitoa Kambi ya Upinzani kwa mnadhimu kukosa sifa

    ningefurahi zaidi kutokee muungano wa CUF na CCM huku Bara kama vile Zanzibar ili sisi wapinzani wa kweli tujulikane.. sio kuwa na mamluki katika kambi ya upinzani
  15. G

    JamiiForums Tanzania List of Enemies of the State: A Threat to Tanzanian Democracy and Resources!

    bado wengine wengi tu wako wapi kina sumaye , mkono.. haiwezekani Mkapa awe kwenye list alafu waziri wake mkuu kwa vipindi viwili asiwe mchafu.. hebu nae achunguzwe
Back
Top Bottom