Recent content by gwamaka sauli

  1. gwamaka sauli

    Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

    Sasa hapo mtu si tayari kashajipangia aote kuhusu nini?, ina maana hiyo sio ndoto ni mawazo/imagination ambazo hutumika hata na wapelelezi mkuu
  2. gwamaka sauli

    Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

    Baada ya kumuombea wewe na wenzio nini kilitokea sasa mkuu?
  3. gwamaka sauli

    Akili ya binadamu

    Mkuu hapa napingana na wewe kwenye hilo swala la kuamka na kuandika huo msamiati, kiukweli kabisa binadamu tuna sehemu mboli za memory storage ambazo ni temporary and permanent storage, hiyo temporary ni ile ambayo mtu unaihifadhi kwa muda mfupi tu baada ya kuona au kusikia kitu na hufutika...
  4. gwamaka sauli

    FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

    Wakuu mwenye link ya game ya simba msaada[emoji122]
  5. gwamaka sauli

    Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Wewe kwenye group kama upo mcheki basi Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  6. gwamaka sauli

    Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Ikipatikana ni tag mkuu Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  7. gwamaka sauli

    Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Kuna watu tulipoteza simu wazee kwa hiyo kama kuna active link mtu connect basi Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  8. gwamaka sauli

    Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Wakuu kwa nini tusiunde group la WhatsApp ili tuwe connected kwa pamoja tusaidiane?
  9. gwamaka sauli

    Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

    Hamna laana mkuu hiyo ni poverty cycle[emoji16]
  10. gwamaka sauli

    Mwalimu Mwakasege uwe unajiongeza ili kuzishinda mbinu za Mwamposa katika kugombania Waumini Tanganyika Packers Kawe

    Kwa hali hii basi ni wazi kuwa huu ni mradi kama hadi kuna mashindano kheeee[emoji119]
  11. gwamaka sauli

    Mwalimu Mwakasege uwe unajiongeza ili kuzishinda mbinu za Mwamposa katika kugombania Waumini Tanganyika Packers Kawe

    Ila sisi wakrisyo dah[emoji2357] ,kwamba kuna ushindani wa kimahubiri tena?? Aya na point yako imelenga zaidi kwenye sadaka wala sio mafundisho, me nilidhani utafurahi kuwa wananchi wa kawe watakuwa wamepata neema ya kuhubiriwa na watumishi wawili kwa wakati mmoja aisee!
  12. gwamaka sauli

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Mimi naamini ni muda na mapito ambayo binadamu lazima apitie kutoka kuzaliwa, kuishi hadi kufa kwake, nikiwa namaanisha muda kati ya kipindi picha inapigwa na muda ambao wewe unakuja kuiangalia kuna mengi yametokea hapo kati kati (hayakua na budi kutokea) pia kumbuka hata mentality yako itakua...
  13. gwamaka sauli

    Jando na Unyago: Ngoja niwafunde wadogo zangu muepukane na magonjwa ya kujitakia

    Sahihi aisee mimi masuala ya kunyonyana vikojoleo hapana kwa kweli, wacha niendelee tukufanya kama adam na hawa[emoji16]
Back
Top Bottom