Sheria ipi imevunjwa?itaje hapa hlf hatutakaa mita 200,mbn kama mna maslahi sana kwa taifa msivunje mikataba ya gesi?mbn kuna sheria zingine mnavunja kwa maslahi yenu?inakuwaje mnatumia mabilioni ya shilingi kama kweli mnapendwa na kukubalika?kwnn mnavunja sheria kama kwl lowassa atapata 25%
Ccm ni wanafiki sana unafki wao unawafanya nchi yetu kuwa masikini hv huoni kuwa kuna kila dalili kuwa kura zitaibiwa mana wanakinzana na sheria hawa jamaa lazima wafungwe ayse wanatak kuvuruga uchaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.