VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Nauliza kwa Dr. John Pombe Magufuli na wanaomuunga mkono. Mimi simo kwakuwa simuungi mkono Magufuli wala Lowassa. Mahakama ya Mafisadi imekuwa sera ya Dr. Magufuli. Amekuwa akionwa kama mpambanaji wa ufisadi. Sasa nauliza, Dr. Magufuli akishinda na kufanikiwa kuunda Mahakama ya kushughulikia mafisadi, ataanza na kashfa gani?
Tunazo kashfa kama za Tangold, Meremeta, Kuuzwa kwa nyumba za Serikali, EPA, Richmond, Kuuzwa kwa wanyama waliohai, Malipo hewa ya mishahara Serikalini, Ufisadi kwenye kandarasi za barabara na madaraja, ESCROW, na nyinginezo. Tusije tukampa mbu kazi ya kutibu malaria! (Mrisho Mpoto).
Napendekeza aanze na kashfa ambazo naye anatajwatajwa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Tunazo kashfa kama za Tangold, Meremeta, Kuuzwa kwa nyumba za Serikali, EPA, Richmond, Kuuzwa kwa wanyama waliohai, Malipo hewa ya mishahara Serikalini, Ufisadi kwenye kandarasi za barabara na madaraja, ESCROW, na nyinginezo. Tusije tukampa mbu kazi ya kutibu malaria! (Mrisho Mpoto).
Napendekeza aanze na kashfa ambazo naye anatajwatajwa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam