Hahaha nikafikiri ni Mimi peke yangu ndo nakutana na adha hii
No ndo nawaweza naweka hela M-PESA kisha nanunua kifurushi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwajibika kwa watu unaopaswa kuwajibika kwao ni lazima na si hisani , na kupewa pongezi kwa uwajibikaji wako katika majukumu yako ni ihari ya mtoa pongezi.
hoja zako safi na nikupongeze kwa umakini
basically gharama za materials zinafahamika ila zinakuwa na utofauti mdogo mdogo unaosababishwa na vitu mbali mbali kiasi kwamba haviwezi kudhibitiwa na mkandarasi yeyote.
Unafuu ambao anaweza kuupata client kutoka kwangu haswa ni kwenye labour charges...
huwezi pata bei jumuishi kwa sababu mbali mbali za kiutaalam na kijiogorafia lakini nashauri kwanza kulingana na hizo sababu tajwa kisha natoa mapendekezo yenye kukupa unafuu.
karibu mkuu
Habari za leo wana jamii forum
Naitwa Silas Magesa ni mtaalamu wa ujenzi (Civil engineering technician),nina uzoefu katika uwanda wa ujenzi takribani miaka minne.
Lengo la kujitokeza hapa ni kuufahamisha umma kuwa kama kuna mtu au taasisi yenye uhitaji wa kufanya ujenzi,kuandawiliwa michoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.