Sasa hapo si ni kutekeleza swala la kiimani kitu ambacho unajua kabisa faida yake baina yako na mola wako, hata uwe shambani, kizimbani au msituni ukikata miti hakuna shida. Tofauti na kukaa na njaa ya makusudi ndg yangu. Mbona unalinganisha vitu viwili tofaui? Ndo maana kwenye funga...
We jamaa dk 20 - 40 unaoga au unaganya utafiti wa uvuvi bafuni? Utakua unatafuta samaki bafuni wewe huogi. Au unatapika na utumbo unasafisha kwanza ndo umeze tena? Dk 3 zinatosha toka huko bafuni wewe!!!
Du! kina Mchange ndo wenye kujua walio na makosa kuliko mahakama, ni lini na ni wapi familia ya Lissu imetaka maridhiano? Heche ana mamlaka gani juu ya familia na Lissu mwenyewe? Mchange asidhani watanzania ni watoto wake wakuwadanganya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.