Recent content by Guru1902

  1. G

    Yanga SC: Hatujalipwa pesa yoyote ya ubingwa wa Shirikisho kwa misimu mitatu mfululizo

    Hesabu gani bro wakati wao wanapaswa kutoa risiti za malipo kama waliwalipa kweli hii biashara ya kishikaji ndo itawagharimu TFF
  2. G

    Kinyozi atupwa jela miaka 30 kwa kumpa mimba mwanafunzi

    Hv sheria haijasema swala la miaka kwa mwanafunzi maana dogo anamiaka 18 aliepewa mimba
  3. G

    Siasa zinazofanywa na Wakala wa Majengo(TBA) wa taifa hatina tija kwa taifa letu

    Ukisoma ripoti ya CAG kuanzia page 199 mpaka 203 anaeleze jinsi TBA inavyoingia hasara kila kukicha TBA Imekuwa n taasi pekee ya serikali yenye siasa nyingi kuliko kazi ukiangalia mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi wa bunju ambae CAG ameuita mradi wa hasara utaona ata waliohusika...
  4. G

    Rais wa zamani wa Peru, Alan Garcia amejiua kwa kujipiga risasi baada ya Polisi kufika nyumbani kwake kumkamata

    ila kwa nafasi yao kufanya makosa hakuepukiki kuna maamuzi mengine kama raisi inabidi ufanye dhambi ili mambo yaende(siongelei ufusadi)
  5. G

    Kigogo wa TAKUKURU anayedaiwa kuwadhulumu wenzake viwanja, Kulthum Mansoor apandishwa Kizimbani na kusomewa mashtaka 8 ikiwemo utakatishaji fedha

    inaonekana kama raisi anapanbana mwenyewe na rushwa cz mpaka ata watu wa rushwa ndogo wanaogopa kwenda TAKUKURU wanampigia simu mkuu wa nchi bado shida ipo
  6. G

    Rombo: Mwili wa Kijana Godwin Massawe wakutwa msituni ukiwa hautoi harufu. Wakutwa ukiwa na Rozari na Biblia

    inawezekana alichokikuta kwa mabraza ndo kilichompeleka msituni kufunga na kuomba
  7. G

    Tundu Lissu aujibu Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani, asema uchunguzi wa tukio lake haumhitaji yeye wala dereva wake

    hawatakiwi kuwepo sababu hawakuwepo wakati wa tukio alafu mnasema aombe msaada wa nchi uliyopo kwan ww ni mkimbizi si utarudi ukija watakuhoji na dereva wako atakuwa kapona matatizo yake na yeye watamuhoji
  8. G

    Pastor Shepherd Bushiri, wife arrested for 'fraud & money laundering'

    ingekuwa wameshahukumiwa kuwa matapeli wasingeenda mahakamani
  9. G

    WhatsApp kuwapunguzia wateja wake uwezo wa kuforward jumbe

    alafu ukisha screeshot utaenda kunywea chai au
Back
Top Bottom