Ukisoma ripoti ya CAG kuanzia page 199 mpaka 203 anaeleze jinsi TBA inavyoingia hasara kila kukicha
TBA Imekuwa n taasi pekee ya serikali yenye siasa nyingi kuliko kazi ukiangalia mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi wa bunju ambae CAG ameuita mradi wa hasara utaona ata waliohusika...
inaonekana kama raisi anapanbana mwenyewe na rushwa cz mpaka ata watu wa rushwa ndogo wanaogopa kwenda TAKUKURU wanampigia simu mkuu wa nchi bado shida ipo
hawatakiwi kuwepo sababu hawakuwepo wakati wa tukio
alafu mnasema aombe msaada wa nchi uliyopo kwan ww ni mkimbizi si utarudi ukija watakuhoji na dereva wako atakuwa kapona matatizo yake na yeye watamuhoji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.