Siasa zinazofanywa na Wakala wa Majengo(TBA) wa taifa hatina tija kwa taifa letu

Guru1902

Member
Jan 26, 2014
72
17
Ukisoma ripoti ya CAG kuanzia page 199 mpaka 203 anaeleze jinsi TBA inavyoingia hasara kila kukicha

TBA Imekuwa n taasi pekee ya serikali yenye siasa nyingi kuliko kazi ukiangalia mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi wa bunju ambae CAG ameuita mradi wa hasara utaona ata waliohusika wamesababishia serikali na wakala kulipa deni mpaka leo ambapo TBA imeshindwa kabisa kuwahudumia wafanyakazi wake wanaofanya kazi za mikataba katika mikoa mbalimbali hapa nchini

TBA inachukua kazi kwa pesa ndogo sana kama wanavyojiita kuwa wanatoa huduma hawafanyi biashara lakini ukiangalia pesa hyo jinsi inavyokatwakatwa mpaka ije ifike kwa mkandarasi ambae n ofisi za mikao unakuta faida kubwa imebaki HQ mikoani huku inakuja ela ya kufanyia kazi wakati pia mameneja wa mikoa wamepewa jukumu la kuwalipa wafanyakazi wa mikataba matokea sasa VIJANA wanaofanya kazi za mikataba TBA wanaishi maisha ya shida sana

Nakumbuka wazee wa magomeni walimuuliza raisi kwann umemtoa CE wa TBA ukaenda kumpa ukatibu mkuu wizara ya ujenzi wakati huku kafanya madudu au alikuambia kuwa miradi imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...nimekusoma na nimekuelewa vizuri kabisa_...ila jua tu majungu yenu juu ya ex_TBA boss ni ya kipuuzi sana.

....you need to stop this nonsense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukisoma ripoti ya CAG kuanzia page 199 mpaka 203 anaeleze jinsi TBA inavyoingia hasara kila kukicha
TBA Imekuwa n taasi pekee ya serikali yenye siasa nyingi kuliko kazi ukiangalia mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi wa bunju ambae CAG ameuita mradi wa hasara utaona ata waliohusika wamesababishia serikali na wakala kulipa deni mpaka leo ambapo TBA imeshindwa kabisa kuwahudumia wafanyakazi wake wanaofanya kazi za mikataba katika mikoa mbalimbali hapa nchini
TBA inachukua kazi kwa pesa ndogo sana kama wanavyojiita kuwa wanatoa huduma hawafanyi biashara lakini ukiangalia pesa hyo jinsi inavyokatwakatwa mpaka ije ifike kwa mkandarasi ambae n ofisi za mikao unakuta faida kubwa imebaki HQ mikoani huku inakuja ela ya kufanyia kazi wakati pia mameneja wa mikoa wamepewa jukumu la kuwalipa wafanyakazi wa mikataba matokea sasa VIJANA wanaofanya kazi za mikataba TBA wanaishi maisha ya shida sana

nakumbuka wazee wa magomeni walimuuliza raisi kwann umemtoa CE wa TBA ukaenda kumpa ukatibu mkuu wizara ya ujenzi wakati huku kafanya madudu au alikuambia kuwa miradi imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom