Recent content by gulio

  1. gulio

    Diamond asema nimesitisha kupeleka matumizi ya watoto South

    Wakikua watamtafuta. Kipindi hiki hawana maamuzi, yeye awawekee chao watamdai tu. Na ni mapito tu hayo. Waliochukuliwa wakati wa biashara za utumwa, wapo walioanza kufuatilia chimbuko Lao Afrika. Time will tell
  2. gulio

    Rais Magufuli ashuhudia makabidhiano ya Dhahabu Kg 35 iliyokamatwa nchini Kenya

    Nimepita mitaani. Umekuwa Kama enzi za Nyerere anahutubia Taifa. Redio zote on. Leo mpaka TV na Social media. Things do change. But God is the same. Trust in Him
  3. gulio

    Halima Mdee: Naona aibu Prof. Kabudi kuwa mwalimu wangu

    Ukirudi reverse ni kama ametangaza . Nawaza tu
  4. gulio

    Kama Ulitumia Hili Kopo Basi Wee Ni Dhahabu Aisee.

    Safi enzi zake...Tan Bond zaidi
  5. gulio

    Nini madhara ya kutosomwa bajeti mbadala bungeni?

    Ukifikiria matakwa ya Ki Katiba.....
  6. gulio

    Vijembe na maaskofu halafu ushinde vita sahau!

    Mungu anatupenda sote, hata kambare anatupenda na kutuongoza. Isikie sauti yako ya ndani
  7. gulio

    TBA kwenda kukagua Hostel za UDSM zinazodaiwa kuanza kubomoka

    Taarifa Muhimu kwa wote
  8. gulio

    Magazeti yatawaliwa na habari za kuingizwa mkenge kwa Serikali ya Tanzania

    Nawaza tu nani anajua lini Board ya Acacia imepelekewa yaliyojitokeza na kuyatolea maamuzi?
  9. gulio

    Tanzania ktk mgogoro: Mwadui wakana kuhusishwa uchunguzi wa Almasi. Wasitisha uzalishaji, wadai wizara inajua kila kitu

    Ukitafakari sana nje ya box...tukihusishwa na ikaonekana hivyo itakuwaje. Mashimo ya Maganzo yatajifukia.
Back
Top Bottom