I think ni 50000 tshs . Unailipa kupitia maxmalipo au mpesa,tigo pesa etc when you pay e.g maxmalipo they'll give you a receipt ambayo it has details that you'll need.
Watu wameshacomment kwamba kuitani waheshimiwa ni kanuni walizojiwekea wenyewe!!!. Sasa nyie mnavyosema anadai sio kwamba anadai anataka kila mtu afuate sheria. Mpaka natamani sasa lowassa angeshinda awape elimu maana duh!!![emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Inawezekana . Yaani kabla ya kudiscuss vitu muhimu unawaza au unatoa mfano kuhusu kuona chupi what a pervert ????!!! Kwani kusupport kitu lazima unufaike we unafikiri wale waliosema tenda wema uende zako walikuwa wanamaanisha nini.
Muwage mnasikiliza vizuri sasa uonevu wa nini . Na kutolewa sababu na kanuni zote zile bado unasema ni uonevu. Alafu poa ametoa uamuzi ambao umewahi tolewa bungeni . Binadamu sisI bana.[emoji19] [emoji20]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.