Huawei GR5 Inafaa?

Huawei GR5 Inafaa?

Hizi zinamaana gani?

Connectivity
WiFi 2.4GHz 802.11 b/g/n; BT4.0+LE;

CPU
MT6735M,4*1.0GHz(3G version:MT6582M,4*1.3GHz)

ya juu ni wifi ambayo ni 2.4ghz sio wifi ya kisasa sana ila itafanya mambo ya kawaida sawa tu.

chini ni soc yake mt6735 ambayo ni ya mediatek, version ya 4g (muhimu sana kuhakikisha kama ni hii) ina hio quad core cortex a53 1.0ghz na gpu yake ni mali 720mp2,

hio ya version ya 3g haikuhusu sababu ni soc ya simu ya 3g
 
kwa internet inafaa sababu ina 4g

Multitasking inafaa sababu in speed kubwa na ram kubwa - Qualcomm MSM8939 Octa-core(4×1.5GHz+4×1.2GHz) na RAM 2gb

Games inafaa --sababu ya speed na ram na Display kuuubwa 5.5

ila kuna simu nzuri zaidi ya hio kwa bei hio hio..
Simu kama????
 
mkuu unapozungumzia battery life ni suala pana, kama we ni mtumiaji mkubwa wa simu unatakiwa uangalie on screen time (OST) ya simu, so far duniani hakuna smartphone ambayo ina OST ya zaidi ya siku moja. mpaka zile power bank zenye simu ndani (simu za 6000mah kupanda zenye uzito zaidi ya gram 200) sana sana unakuta OST ni masaa 14 tu.

ukisikia mtu anasema simu inakaa na chaji siku 3 ujue muda mwingi hio simu kioo chake kinakuwa kimezimwa.
Ina maana mAh kubwa kama 5000,6020,6250,7000,10000 ni mbwembwe tu?,na zote hapo juu hazizidi siku moja?
 
Ina maana mAh kubwa kama 5000,6020,6250,7000,10000 ni mbwembwe tu?,na zote hapo juu hazizidi siku moja?
si mbwembwe ila kwa mtu mwenye matumizi makubwa 3000mah inaweza isha masaa 4 hadi 6 hv ikizidi sana 8 hivyo usitegemee 6000mah ikae siku 3.

pia simu ambayo haipo optimized vizuri hata mah zikiwa kubwa haitakaa sana na charge. mfano wa simu ambayo naikubali hadi leo kwa kuwa optimized vizuri ni sony xperia z3 compact ina mah 2600 tu lakini inazipira simu nyingi zenye mah hadi 4000.

hivyo unatakiwa uangalie vyote mah na utaalamu wa kuzitumia kiufasaha hizo mah.
 
Kuna Huawei Y6Pro ni toleo la 2016
RAM 2 GB
Front camera 8
Back camera 13
Storage 16 Gb
Iko poa bei yake ni 350 to 400
 
Chief., kati ya hiyo huawei y3II na tecno N8 ipi ipo bomba zaidi?
zote nimeziona tigo hio tecno ni ghali kwa shilingi 5000 pia processor yake ni dual core halafu nafkiri ni 32bit wakati hio huawei processor yake ni quadcore 64bit.

hivyo hio huawei kidogo specs zake ni nzuri
 
zote nimeziona tigo hio tecno ni ghali kwa shilingi 5000 pia processor yake ni dual core halafu nafkiri ni 32bit wakati hio huawei processor yake ni quadcore 64bit.

hivyo hio huawei kidogo specs zake ni nzuri
Hio tecno Sio 199000?
 
mkuu simu sio mbaya ila kama shida ni games tafuta simu yenye snapdragon 650 hizi bei zake ni nafuu na zina core 2 za cortex a72 pamoja na gpu kama adreno 510 ambayo inaziaibisha hadi baadhi ya flagship.

simu za snapdragon 650 ni kama xiaomi redmi note 3 ambayo bila shaka unaipata kwa budget yako na change inarudi.

kokote utakapoikuta snapdragon 650 kwa bei chini ya laki 6 ujue haina mpinzani

mkuu xiaomi ntaipata wap kwa dar na ni tshs ngap....
 
mkuu xiaomi ntaipata wap kwa dar na ni tshs ngap....
xiaomi ni kampuni mkuu ina simu nyingi na bei tofauti tofauti.

upatikanaji wake ni mgumu ila kwa kenya zipo nyingi zimeanza kuuzwa sijui kama kwetu kuna wafanyabiashara wameanza kuzileta.

kuna jamaa anaziagizishia china kwa order kwa wanaotaka deogan
 
xiaomi ni kampuni mkuu ina simu nyingi na bei tofauti tofauti.

upatikanaji wake ni mgumu ila kwa kenya zipo nyingi zimeanza kuuzwa sijui kama kwetu kuna wafanyabiashara wameanza kuzileta.

kuna jamaa anaziagizishia china kwa order kwa wanaotaka deogan
mkuu ebu nipe ushauri kati ya htc desire eye na hawei p8 lite.. ipi in piga kazi zaiid
 
ya juu ni wifi ambayo ni 2.4ghz sio wifi ya kisasa sana ila itafanya mambo ya kawaida sawa tu.

chini ni soc yake mt6735 ambayo ni ya mediatek, version ya 4g (muhimu sana kuhakikisha kama ni hii) ina hio quad core cortex a53 1.0ghz na gpu yake ni mali 720mp2,

hio ya version ya 3g haikuhusu sababu ni soc ya simu ya 3g

Na 4 Core, 1.0 GHz Ina maana gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom