Ifike mahala tuwaze mambo mengine, Kenya hapo wameandamana sana hadi kuingia bungeni, kuna kitu kinebadilika?
Tika enzi maisha yalikuwa magumu, nanhatuwezi kuwa matajiri wote na hatuwezi kuwa viongozi wote. Haya mambo yana pangwa na Mungu mwenyewe.
Vijana pambaneni kutafta riziki, mtaishi...
Yaani kwa busara kabisa kwa kipindi hiki, ili paswa kukaa kimya tu. Yaani ni kama vile wana tunashana misuri na serikali.
Ukweli ni kwamba kuna makosa kiuendeshaji lakini kujua nini cha kuongea kwa nyakati gani ni mhimu zaidi.
Mwisho hatuwezo kuwa viongozi wote kwa wakati mmoja.
Hizo ni mbinu za kibiashara. Hata Rostam anaweza akaibuka leo aka watuhumu wa shindani wake.
Hapa nadhani wa kulalamikiwa ni serikali sio huyu bwana na wengine. Mfanya biashara duniani kote ana tafta upenyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.