Unaandika kana kwamba wewe ndiye uliyempangia kipindi na ratiba nzima.Yeye ni Mtaalamu na fundi wa sheria.Huna utaalamu wala ufundi wa kumpangia cha kuongea.Tulia tu.Au vipi
Sisi tumeelewa.Mwanzoni tuliona kuwa ni maendeleo. Sasa tumejua kumbe ni ubinafsi na ubabe umetumika kupeleka wanyama huko.Ahsante kampeni kwa kutuhabarisha.Tena ni zile fedha zilizomfukuzisha kazi CIAG 1.5Uonevu mbaya sana.
Sio kila mwajiriwa anapenda kuona wengine wakionewa,wakibaguliwa au kutotendewa haki Mungu ana watu wake kila mahali.Tambua kuwa tone moja la damu thamani yake ni kubwa.Linapopotea bila sababu,na anayesababisha tone hilo kudondoka bure ukawa ni wewe,basi subiri yatakayofuata.
Wewe kwako ni kelele.Iko siku inakuja kwako utajua kama ilikuwa kelele au kilio au muziki wa ala.Mungu akusaidie.Haki huinua taifa bali dhambi ni Aibu wa taifa.Taifa hili litabaki masikini milele.
Akafungue nyingine aone kama sisi wananchi tutakuja.Kwanza tutakuja kufanya nini saa za kazi.Ni kweli huu ni ukatili na uonevu mbaya.Taratibu za kumsimamisha kazi mtumishi wa umma Tanzania jamani ziko wapi? Sasa hivi ni kufukuzana kazi tu bila kujali utu wa mtumishi wa Umma.
Wizara ya kazi...
Aaaa kweli nakumbuka sana. Sasa hivi wako hoi. Hivi TBC bado ipo,kwenye Tv yangu nilishaing'oa tangu wamkatae Tido Mhando ambaye sasa tuko naye Azam Tv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.