Duh,mimi naona uoe tuu kwani ukitaka kujua sana,kwa ulimwengu wa sasa na kuingiliana kuoa makabila mbalimbali yana tabia hizo hasa ulimwengu huu wa ki freemason.watu wanajali sana pesa kuliko kitu subiri nikwambie.tafuta mpare aliyesoma dini akaiva sawasawa na akafuata matendo sahihi ya dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.