Wanamabadiliko,Leo ndio ile siku ya FUNGAKAZI ambayo tulikuwa tunaisubiria hususani kwa watu wa DSM hapo Jangwani.Hadi sasa sijaona updates zozote ya juu kinachoendelea pale Jangwani, mwenye nazo naomba atupie hapa. Wengine tupo mbali na Dar ila tunataka kujua kila kinachoendelea
Ebu toa ufafanuzi zaidi, kawaweka kambi gani na wapi?
Kwanza huyu Leprofesar hapo Mwanga hali yake vipi? Yeye bado hajatoroka tu?
Na nyie Wapare mkimchagua huyu jamaa nitawaona wa ajabu sana
Hivi CCM zaidi ya Kinana, huwa hakuna wengine wanaofanya mikutano mbali mbali? Maana inaonekana Kinana akilala hakuna kinachofanyika, ni sawa kabisa na ACT. Ila Chadema wana twanga kote kotecc mussa allan
Acha chuki binafsi. Huwezi safiri toka nje ya wilaya na kufikia guest eti unasuburi mkopo. Kawaida unajaza form zako unaacha unaondoka hadi taratibu zitakapokuwa tayari unaitwa, bila hata ya kutoa rushwa. Unauhakika gani kama hao ''wafanyabiashara wakubwa'' wameanza taratibu za mkopo ndani ya...
Mbona huyu nae amechelewa, inakuwa kama ndio anaamka toka usingizini. Mambo ya katiba mpya yameahirishwa ndio anajitokeza leo. Sasa hayo anamwambia nani? _manina!!
Tafadhali mje mtupe taarifa ilikuwaje uko katika hii ziara, maana naona mahasimu wakubwa wawili walikuwapo katika hiyo ziara, hapa naona picha tu
cc MTENGETI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.