Jirani mbona ni juzi tu shemeji ametoka kukwambia mkono kama stili waya ulipokua unamtoa kichunusi shavuni....
Kumbe mpaka faragha huwa unautumia huo huo🤣🤣
Hakika hii si tu sherehe
Hii ni zaidi ya alarm kwa yule atakae kwenda kuvaa viatu vyake
Kama kweli wamemkata jina kwa nia ya dhati
Baasi CCM wakampe kipaumbele bajeti zake mbunge atakaepita ili kutatau walau kidogo changamoto za wana_BUMBULI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.