Recent content by Guardiola

  1. Guardiola

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Njaa mbaya sana 📌
  2. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Kusamehe ni Udhaifu

    Inategemeana ni kosa kwenye angle gan... Katika angle ya mapenzi mwanamke akikuchiti kusamehe ni udhaifu kwakua hawezi kumvulia nguo mtu ambaye hana hisia nae... Mandela pindi alipotoka gerezani aliwasamehe wengi walomkosea ila hakumsamehe mke yule alomchiti pindi alipokuwa gerezani.
  3. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Madhara ya kutumia gharama kubwa kwa mwanamke ni makubwa sanaaa.. Ukikuta kakuchiti, unaumia angle mbili. 1.wivu wa kimapenzi 2.Gharama ulizotoa pin 📌
  4. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Aise ; zawadi kwa ajili ya waumini na mashahidi peponi.

    Hawa jamaa na hilo tendo ni Pete na kidole
  5. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Mkuu kwahiyo unamaana ya watamstarehesha?
  6. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Hawa viumbe siyo kabisa, tuishi nao kwa akili sana, wao ndiyo pengine hata hutuua

    Kosa kubwa alofanya ni kumshirikisha mwanamke kwenye suala la pesa.. Hapa mkuu alijimaliza mwenyewe
  7. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Hawa viumbe siyo kabisa, tuishi nao kwa akili sana, wao ndiyo pengine hata hutuua

    Kosa kubwa alofanya ni kumshirikisha mwanamke kwenye suala la pesa.. Hapa mkuu alijimaliza mwenyewe
  8. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kubadili dini na kuwa mkristo. Yesu ni Mungu na wayahudi ni wateule wake

    Hongera sana mkuu... Ila si Sheria ama sharia kama msemavyo huko, ukihasi dini ni kukatwa kichwa asa itakuaje😂😂😂😂
  9. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Jirani mbona ni juzi tu shemeji ametoka kukwambia mkono kama stili waya ulipokua unamtoa kichunusi shavuni.... Kumbe mpaka faragha huwa unautumia huo huo🤣🤣
  10. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Watakwambia astagafilulahi🤣🤣🤣
  11. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

    Ukiomba hivyo, omba pia upate mtoto wa kiume ambaye ukija kumwomba hela akwambie "Mama subiri mke wangu aamue kunipa"
  12. Guardiola

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi wa Bumbuli wachinja ng'ombe kusherehea January Makamba kukatwa

    Mungu awajaalie wapate mtu ambae atawawakilisha mpaka pale waliposahau
Back
Top Bottom