Recent content by Guardiola

  1. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Hawa viumbe siyo kabisa, tuishi nao kwa akili sana, wao ndiyo pengine hata hutuua

    Kosa kubwa alofanya ni kumshirikisha mwanamke kwenye suala la pesa.. Hapa mkuu alijimaliza mwenyewe
  2. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Hawa viumbe siyo kabisa, tuishi nao kwa akili sana, wao ndiyo pengine hata hutuua

    Kosa kubwa alofanya ni kumshirikisha mwanamke kwenye suala la pesa.. Hapa mkuu alijimaliza mwenyewe
  3. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kubadili dini na kuwa mkristo. Yesu ni Mungu na wayahudi ni wateule wake

    Hongera sana mkuu... Ila si Sheria ama sharia kama msemavyo huko, ukihasi dini ni kukatwa kichwa asa itakuaje😂😂😂😂
  4. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Jirani mbona ni juzi tu shemeji ametoka kukwambia mkono kama stili waya ulipokua unamtoa kichunusi shavuni.... Kumbe mpaka faragha huwa unautumia huo huo🤣🤣
  5. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Watakwambia astagafilulahi🤣🤣🤣
  6. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

    Ukiomba hivyo, omba pia upate mtoto wa kiume ambaye ukija kumwomba hela akwambie "Mama subiri mke wangu aamue kunipa"
  7. Guardiola

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi wa Bumbuli wachinja ng'ombe kusherehea January Makamba kukatwa

    Mungu awajaalie wapate mtu ambae atawawakilisha mpaka pale waliposahau
  8. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Wanaume: changamoto/kero gani mnapitia mkiwa na wapenzi wapya ila mnaogopa kuwaambia kuepusha kuvunjika kwa penzi?

    Nimepata kigagaziko sana kutofautisha andiko na jina la mhusika Bora umekuwepo mkuu
  9. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    😂😂😂 Mkuu simamia hapo hapo vijana tunamalengo makubwa na hela zetu🤣🤣🤣
  10. Guardiola

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi wa Bumbuli wachinja ng'ombe kusherehea January Makamba kukatwa

    Hakika hii si tu sherehe Hii ni zaidi ya alarm kwa yule atakae kwenda kuvaa viatu vyake Kama kweli wamemkata jina kwa nia ya dhati Baasi CCM wakampe kipaumbele bajeti zake mbunge atakaepita ili kutatau walau kidogo changamoto za wana_BUMBULI...
  11. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    Mkuu kwa hii comment usipofuatwa Pm Nimekaa hapa
  12. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    Mkuu Cha ajabu unakuta unafuatwa na baadhi ya dadaz kunako Pm kuulizwa kwani hapo alichanganya na dawa gani? Hii nchi kila kitu ni fursa
  13. Guardiola

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu na shukrani kwa ushirikiano

    Hongera zako
Back
Top Bottom