Recent content by Guardiola

  1. Guardiola

    Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Jirani mbona ni juzi tu shemeji ametoka kukwambia mkono kama stili waya ulipokua unamtoa kichunusi shavuni.... Kumbe mpaka faragha huwa unautumia huo huo🤣🤣
  2. Guardiola

    Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

    Ukiomba hivyo, omba pia upate mtoto wa kiume ambaye ukija kumwomba hela akwambie "Mama subiri mke wangu aamue kunipa"
  3. Guardiola

    GE2025 Wananchi wa Bumbuli wachinja ng'ombe kusherehea January Makamba kukatwa

    Mungu awajaalie wapate mtu ambae atawawakilisha mpaka pale waliposahau
  4. Guardiola

    Wanaume: changamoto/kero gani mnapitia mkiwa na wapenzi wapya ila mnaogopa kuwaambia kuepusha kuvunjika kwa penzi?

    Nimepata kigagaziko sana kutofautisha andiko na jina la mhusika Bora umekuwepo mkuu
  5. Guardiola

    Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    😂😂😂 Mkuu simamia hapo hapo vijana tunamalengo makubwa na hela zetu🤣🤣🤣
  6. Guardiola

    GE2025 Wananchi wa Bumbuli wachinja ng'ombe kusherehea January Makamba kukatwa

    Hakika hii si tu sherehe Hii ni zaidi ya alarm kwa yule atakae kwenda kuvaa viatu vyake Kama kweli wamemkata jina kwa nia ya dhati Baasi CCM wakampe kipaumbele bajeti zake mbunge atakaepita ili kutatau walau kidogo changamoto za wana_BUMBULI...
  7. Guardiola

    Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    Mkuu kwa hii comment usipofuatwa Pm Nimekaa hapa
  8. Guardiola

    Huu ni uchawi kwenye mapenzi

    Mkuu Cha ajabu unakuta unafuatwa na baadhi ya dadaz kunako Pm kuulizwa kwani hapo alichanganya na dawa gani? Hii nchi kila kitu ni fursa
  9. Guardiola

    Natafuta rafiki wa kike, mengine tutayajenga

    Anaweza kuja kama rafiki na bado akakuomba hela ya kodi n.k Wao wanaita kujali...
  10. Guardiola

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    Kwahiyo mkeo anaenda kuwa pisi mpya kwa mshikaji mwingine?
  11. Guardiola

    Sijawahi kuona watu waoga kama Watanzania, wamemshika Tundu Lissu mwezi wa 3 huu mmekaa ndani

    Tunawasubiri tu muagize mahindi maana hua hamkosi njaa ninyi.
  12. Guardiola

    Sijawahi kuona watu waoga kama Watanzania, wamemshika Tundu Lissu mwezi wa 3 huu mmekaa ndani

    Unajidaia thamani ya pesa na ilhali ww na nchi yako mnashida bado Sifa mlizonazo ndio zinawafanya mzidi kudumaa kifikira na uchumi wa mmoja mmoja.
Back
Top Bottom