Recent content by Gtt

  1. Gtt

    JamiiForums Tanzania Habari Kwa wale wanaopenda kujifunza kiingereza karibu katika darasa la bure kabsa

    Darasa Hili litaanza jumatatu ya trh 1/8/2022 Bonyeza link kujiunga moja Kwa moja https://chat.whatsapp.com/BCvr1nvyuPwBW9TEqISE99
  2. Gtt

    JamiiForums Tanzania Umejiandaaje pale Familia yako itakapokutenga?

    Asante sana
  3. Gtt

    JamiiForums Tanzania Umejiandaaje pale Familia yako itakapokutenga?

    Jamaa namuelewa sana nikija dar lazima nikutafute mkuu namba zako nimesave
  4. Gtt

    JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja mkataba wa mauziano kabla malipo hayajakamilika, Je naweza daiwa fidia?

    Sijapata ila nimeamua kubadili maamuzi yangu.
  5. Gtt

    JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja mkataba wa mauziano kabla malipo hayajakamilika, Je naweza daiwa fidia?

    Mwenye nguvu zake kivipi mkuu?
  6. Gtt

    JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja mkataba wa mauziano kabla malipo hayajakamilika, Je naweza daiwa fidia?

    Hivi atagomaje wakati namrudishia pesa yake.
  7. Gtt

    JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja mkataba wa mauziano kabla malipo hayajakamilika, Je naweza daiwa fidia?

    Mkuu sitaki ukorofi bali nataka nimrudishie pesa yake tu maana nimeghairi kuuza.
  8. Gtt

    JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja mkataba wa mauziano kabla malipo hayajakamilika, Je naweza daiwa fidia?

    Habari zenu wana jukwaa la sheria Niende kwenye mada moja kwa moja mwezi mmoja wiki kadhaa zilizopita kuna mtu nilifanya nae makubaliano ya kununua biashara yangu kwa kiasi cha milioni 4 na tukaandikishana akanipa milioni mbili kwanza na nyingine angenipa trh 20 mwezi huu kisha nimuachie ile...
  9. Gtt

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Kwangu ni big no
  10. Gtt

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Hiyo hapana
  11. Gtt

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30,000 kwa siku, ushauri wenu ni muhimu sana, asanteni sana.
  12. Gtt

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single mothers nawaibia siri nyingine

    Single mother hata kama ungenishikia bunduki sioi single mother.
  13. Gtt

    JamiiForums Tanzania Kuwa wakala wa vinywaji (soda na bia)

    Kama utahitaji Depo au kununua kreti tupu kampuni ya coca na TBL maeneo ya kahama nitafute maana nina mpango wa kuhama mkoa.
Back
Top Bottom