Recent content by Gthedon

  1. G

    E. Kezilahabi: Rosa Mistika

    Umenikumbusha mbali sana,ngoja nikitafute nisome ten
  2. G

    Tanesco huku kuna tatizo gani

    Leo wamekata mapema saa 18:35hrs,lakini mi najiuliza kwa nini iwe usiku tu na kila siku kuna nini hapa,huku kuna ili bomba la mafuta kwenda zambia uwenda ndo sababu ya kufanya hivyo
  3. G

    Tanesco huku kuna tatizo gani

    Ni mwezi sasa kumekuwa na tabia ya umeme kukatika kati ya saa 19:30 — 20:15 nakurudi kati ya saa 21:30 —22:50 huku maeneo ya mbagala kirungure na maeneo ya jirani na hapa ,Tanesco tatizo ni nini.
  4. G

    Naweza pata mifuko 80 ya cement kwa bei ya kiwandani

    Jamani nataka kuchukua cement mifuko 80 kwa bei ya kiwandani hasa kiwanda cha Vikindu ,kwa anayeweza kunisaidia jamani.
  5. G

    Nataka kokoto

    Ntajipanga kuweka rinta lakin wengine wanadai inatekemeana na eneo sehemu nyingine si lazima
  6. G

    Nitawezaje ku install whatsapp kwenye Nokia xl

    Ni nzuri sana kwa nokia x,xl... ,whatsapp ya kawaida unaipata kwenye store but itakwambia haisupport unapofungua so restart zn check na rafiki mwenye whatsapp mtumiae ujembe au akutumie utaona kwenye fastline utaweza fungua ujumbe but kwa whatsapp + haina tatizo kabisa
  7. G

    Nataka kokoto

    Kuna umuhimu gani wa kuweka rinta kwenye msingi. Coz kuna watu naona watu wanaweka na nondo moja so sioni ubora wake.
  8. G

    Nataka kokoto

    Ok vizuri kumbe kunaumuhimu wa kufika huko coz watu wa gali walisema mafungu yanauzwa elfu 70. Ni nyumba ya chini
  9. G

    Nataka kokoto

    Wanauzaje mkuu
  10. G

    Nataka kokoto

    Nataka kokoto kwa ajili ya rinta baada ya msingi na rinta yenyewe juu,nijuze size hipi inafaa nipo Kongowe Mbagala.
  11. G

    Kwa wenye uzoefu na NMB

    Nenda tawi lolote la NMB karb nawe watakusaidia huchukui muda ni kitendo cha dakika 3
  12. G

    Safari Mkoa wa Tabora

    Ukiwa huko tumia baskeli kama usafiri katikati ya manispaa
Back
Top Bottom