Recent content by G'taxi

  1. G'taxi

    Tafuta pesa uheshimike

    Unaongea tu tafuta pesa tafuta pesa,husemi kwa njia ipi inayo sababisha pesa nyingi hapo ulipo wewe mwenyewe utakuta huna pesa. Aaaah
  2. G'taxi

    Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Not really, acha kudanganya watu..waMeru wana roho mbaya sana ,chuki na ubinafsi,ila ukiwa unaongea nae kwa sura utaona ni mtu poa lakini hawafai
  3. G'taxi

    Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Mimi nimeona wameru 8 wenye matatizo makubwa sana ya ubinafsi,roho mbaya,chuki,na kila aina ya ushenzi wako nao,na niko nafanya kazi kaskazini Arusha kwa miaka 14 sasa
  4. G'taxi

    Kiwango cha ujasiri na umakini wa Tundu Lissu mahakamani kinashuka kadiri anavyoitwa mbele ya mahakama kujibu yanayomkabili

    Nenda kaangalie Mrindoko yule mchokonozi alivyo muongelea Lissu, kimsingi huyo ni anatengeneza tension kwa watu maana na yeye hiyo ndo kazi yake anaishi kwa kusemwa semwa hivyo,anachokoza kitu makusudi ili apate kiki aendelee kung'aa lakini hana lolote la kwamba yeye akiwa madarakani kwamba...
  5. G'taxi

    Sijaona Mtanzania mwenye akili kama Lissu jamaa yupo nondo sana

    Ushabiki wa kipuuzi unaweza mdharau hata aliyekuzaa ukasema Lissu ana akili kuliko baba yako, watu wako kazini wanatafuta kazi wapate pesa kwa njia zao nyie mnakurupuka tu na kauli za kitoto.
  6. G'taxi

    Uume wako sio rafiki yako zaidi ni adui yako mpaka ujifunze kuudhibiti

    Mengine mnaleta mbwembwe tu, kweni huna nguvu kwenye miguu inayotembea au mikono inayoenda mbele na nyuma muda wote unapo tembea? Macho yanayofumba na kufumbua kutwa nzima je? We sema tu kujichua siyo njia sahihi ya ngono basi, lakini kuanza maneno mengi ni kujifanya kujua kwenye hamna
  7. G'taxi

    DOKEZO Nazungushwa kupata Mafao baada ya Mkataba wa kazi kumalizika, naambiwa niliacha kazi

    Kweni kutokuendelea na ajira akisema muajiliwa maana yake ndo asipewe mafao yake?
  8. G'taxi

    LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

    WaTanzania ni watu tuna shida sana,mtu akitetea CCM eti hafai, ila akisema yeye ni Chadema au ni mpinzani, eti anaitwa Kamanda anayejitambua. Sikilizeni,kila mmoja ktk maisha haya anaishi kwa utashi wake aliyo pewa na MUMGU,kila mmoja ana maamuzi dhidi ya maisha yake na jamii inayo mzunguka...
  9. G'taxi

    Inakuwaje mungu wao apigwe misumari kwenye msalaba na watu uliowaumba?

    Siwezi kukupa mapana ya tafisiri halisi ili uelewe kwa nini inafupishwa kusema hivyo. Ila tu mi mwenyewe nashangaa ni kwa nini watu wa Desturi ya Kiarabu waliambukiza Desturi yao mpaka huku kwa watu weusi kwamba mtume wao alifikia kulala mpaka na mtoto wa miaka 9 na wanashangilia,wanaingia...
  10. G'taxi

    Kwanini hakuna hata nchi moja ya kiarabu yenye demokrasia?

    Demokrasia ni yamaduni ya watu weupe wa Magharibi,siyo tamaduni na utaratibu wa waarabu wala waafrika.
  11. G'taxi

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Nyoe ni vijana wa 2000 msiojua hata hii nchi imetoka wapi,ni kukurupuka tu bila kujua wanao waaminisha wanaendeshwa na tamaa za kupata madaraka na pesa
Back
Top Bottom