Recent content by GT1

  1. GT1

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nahitaji kuchukua mkopo wa milioni 30 kwajili ya biashara ya mahindi

    Hio kazi mimi ndo naifanya , nimeongea kwa uzoefu niliokuwa nao kuhusu hio biashara.
  2. GT1

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nahitaji kuchukua mkopo wa milioni 30 kwajili ya biashara ya mahindi

    Unaweza KUCHUKUA mkopo na ukaanza biashara kwa mara ya kwanza na ukafanikiwa, ila itabidi uzingatie mambo haya. 1.hakikisha unakuwa sehemu ya hio biashara (uwe muhusika namba 1) na utambue ni wapi sehemu sahihi za kuchukua mzigo, na pia lazima ujue bei za mahindi kwa Kanda tofauti. 2.hakikisha...
  3. GT1

    JamiiForums Tanzania Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

    Kama zipi na zipi ambazo ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana
  4. GT1

    JamiiForums Tanzania Biashara ya sembe Dar es Salaam ipoje?

    Karibu nikupe ABC na kushauriana pia...Nipo mbagala.
  5. GT1

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

    Daah pole sana aisee, mimi mwenyewe nafanya hizo harakati. Kosa kubwa ambalo umelifanya ni kuweka mzigo store kisha kusubiri wateja waje em vuta picha unaenda kupigika porini kisha uje dar halafu uweke mzigo kisha usubiri wateja waje ndo uuze aah kaka HAPANA. sehemu shindani kama hizo mbagala...
  6. GT1

    JamiiForums Tanzania Nachukua mkopo CRDB nianze biashara ya nafaka(mpunga na mahindi)

    Kabla ya kuchukua huo mkopo hakikisha biashara unaijua nje ndani, jifunze kwa kupitia sehemu Kama hizi kabla na sehemu zinginezo pia ulijue soko lako, jifunze na ujue hasara huwa Inapatikana vipi na faida inaapatikana vipi....kabla ya kumiliki biashara Anza kwanza kuiishi hio biashara kichwani.
  7. GT1

    JamiiForums Tanzania Biashara ya sembe Dar es Salaam ipoje?

    Haya mdogo wangu kama huja pata sehemu sahihi kwa dar basi njoo nikuoneshe sehemu sahihi, na uanze hio biashara kuhusu Pumba nitakufanyia mpango wapi pa kuuza na hata wafanyakazi wa ofisi ukiwa huna, mi nitakuwa nao wa kukupatia, ila uwe tayari na mimi niwe naleta mzigo wangu nasaga kwa gharama...
  8. GT1

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nafaka Dar ipoje?

    Kama muda unao mdogo wangu, mtafute mtu mmoja ambae ni ndugu yako mnaewezana awe mkubwa kdg kukuzidi ambae ana mishe za kuungaunga kisha mwambie kuna boss anahitaji vijana wawili...jifanye kuwa anataka ma agent wa kumuuzia mzigo dar. Wakati huo inabidi ujue mahindi utakuwa una chukulia wapi...
  9. GT1

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 16, naombeni ushauri

    Mpk unataka ushauri sio kwamba umekosa kabisa cha kufanya, kinachokusumbua ni hofu ya kuanza na unafikiria hasara zaidi kuliko faida. Cha kufanya... Tafuta wazo zuri la biashara, ujue na wateja wako ni kina nani, biashara utakayoanzisha isizidi mil 6 mtaji na isiwe chiin ya milion 5 mtaji...
  10. GT1

    JamiiForums Tanzania Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pakubwa sana

    Basi hujaaribu kitu... Kuwa tu na Subira na kiasi ulicho nacho kisimamie tu vzr
  11. GT1

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kutoboa kirahisi Dar 2024

    Dogo anatafuta ajira acha wakaelewane pm...
  12. GT1

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kunde, maharage, choroko na Njungumawe kwa bei ya jumla

    Nicheki inbox
  13. GT1

    JamiiForums Tanzania Kwanini kisitumike Kitambulisho cha Taifa pekee (NIDA) kwenye maombi ya Passport?

    Habarini wadau wa JF, Kitambulisho cha Nida kina taarifa kamili za muhusika wa kitambulisho hicho. Sasa kwanini kisitumike hicho pekee katika kujaza fomu ya kupata passport ya kusafiria...badala yake wanahitaji cheti cha kuzaliwa, kitambulisho / namba ya nida n.k Badala ya kujaza maelezo...
  14. GT1

    JamiiForums Tanzania Natafuta soko la mahindi

    Vipi soko ushapata au bado!??...njoo tufanye biashara.
  15. GT1

    JamiiForums Tanzania Nawaza kuacha kazi, naona sihitajiki na kampuni ninayofanyia kazi

    TULIA....usifikirie kabisa kuacha kazi, kumbuka ulipotoka, kumbuka msoto uliopitia. Kisha jaribu kujitathimini, Je ni wapi unakosea mpaka hayo yote yanatokea...!! Ikiwa huoni ulipokosea kila ukiangalia, basi usiumize sana kichwa, isipokuwa jenga mahusiano bora na Mungu wako. Labda, huenda...
Back
Top Bottom