Pia kuna kundi jingine la watoto wanaosoma private schools ambao huchaguliwa shule za Kayumba.Hawa nao huwa hawaripoti katika shule husika badala yake huendelea na private secondary schools.
Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.
Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla...
54 hata 60 sio umri wa akili kupungua kwanza ndio umri wa hekima kubwa,marais wengi hata huko ulaya wanaangukia kwenye umri huo.Hawa wanandoa Wana matatizo ya kisailolojia.
Mimi huwa nashindwa kuwaelewa watu huenda ni tatizo langu pekee maana Nchimbi anashambuliwa kwa kuwa alijitokeza hadharani kupinga mchakato wa kuteua mgombea urais 2015 yeye akiwa timu Lowasa.Kwangu mimi inaonesha jinsi alivyo na msimamo na asiyeyumbishwa kwa kile anachokiamini.CCM ndio...
Hiki cheo naona ni mahsusi kwa watu wa kusini na nyanda za juu kusini,Iringa ikiwa kinara.Hebu angalia orodha hii:-
1.Rashid M Kawawa - Ruvuma
2. Horace Kolimba - Iringa
3. Philip Mangula - Iringa
4. Daniel Chongolo - Iringa
5. John Nchimbi - Ruvuma
Huenda nao hawajamuelewa baba mtakatifu.Na wanaweza kuitwa Vatican na kupewa elimu ya kutosha ili kuhakikisha kundi la mashoga nao wanapewa nafasi ya mali zao kubarikiwa.
Ni kweli kabisa haya madhehebu mengine hayajielewi kabisa.RC na Lutheran ndio dini zenye wasomi waliobobea na falme zote za Dunia zinawatambua Wanatoa huduma za jamii kama Afya,Elimu na malezi kwa watoto yatima na makundi maalum.Kutokana na shughuli hizi zinazogusa maisha ya watu na hasa...
Kasri lote lile lililojengwa Machame anapaswa kupumzika.Hata hivyo amepambana mno hata kuufikisha upinzani katika hatua hii ya uelewa.Nadhani ni wakati muafaka awaamini vijana waendeleze Mapambano.Maana hata yeye aliyaanza akiwa kijana ndio maana legacy yake ni kubwa.Ni kiongozi mwenye alama...
Maisha ya mwanadamu kiasili ni utashi ambao Mungu ameuweka katika nafsi za Kila mmoja wetu pamoja na viumbe hai wote.
Hali hii inajumuisha mifumo ya utawala na uongozi kupitika mila na desturi za jamii husika kulingana na mazingira yake.
Mwanadamu ameumbwa kwa jinsi(sex) mbili kuu ambazo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.