Recent content by GRNC

  1. G

    Mikoa ya Mbeya na Kagera yatajwa kuongoza kwa utapiamlo na udumavu kwa watoto

    Hii tafiti kweli au ?? Si huwa mnasemaga Singida auvip
  2. G

    Hili Tatizo la kuweka "L" badala ya "R" katika uandishi ni Janga la Kitaifa

    Yaan ndg mleta Mada, hili limekuwa janga na sio kidogo tena limeenda hadi kwa waandishi na watangaza habari, utasikia wanasema "hifuatayo ni taarifa ya abari" baadala ya "ifutaatayo ni taarifa ya Habari" wananikera Kama nini.... Nimemsikia Samhela wa ITV
  3. G

    Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

    Sijuwi=sijui
  4. G

    Elimu ya juu huleta umasikini

    si kila mtu lazima awe tajiri hapa duniani wengine wanatoa huduma kwa jamii imagine tusingepata madaktari, profesa, halafu umeongelea nesi mbona huwa wanaishia form four tu wanaenda chuo hawafiki elimu ya juu
  5. G

    Dodoma na Singida udumavu wa akili ni asilimia 32.8 ..Nini kifanyike??

    utafiti huu sijui kama ni wa kweli, hapahap mlitoa mikoa inayoongoza kwa utapiamlo Singida hata haipo kwenye top 5 sijui ikoje hapo.....
  6. G

    Swali: Ukipewa kazi ya kubuni chombo au kifaa chochote bila kuiga popote utabuni nini?

    kifaa cha fikrameter, kudetect fikra mbovu za watu , ukifika tu kinapiga kelele
  7. G

    Weekend Story! DESPERATE!

    k ni balaa
  8. G

    Kufuatia tangazo la Serikali kuhamia Dodoma, natabiri haya..

    miji ya jiran kama singida kukua kwa kasi
  9. G

    Kufuatia tangazo la Serikali kuhamia Dodoma, natabiri haya..

    wahamie tu maana Dom Luna maeneo ya kutosha
  10. G

    Mobile NBAA review classes

    Term nying
  11. G

    Magumu Yasikutishe

    Biashara hasa professional buz zina changamoto zake ' ufahamike kwanza nk
  12. G

    Huyu Gabriel Zakharia wa TBCM swaga zake za kizee sana

    Wivu uciona maana. ana mambo ya kizee ?kwani wazee cio watu . We utakuwa kijana mm.. Acha unyanyapaa..
  13. G

    Lembeli: Walitaka kunihonga millioni 50 Nifiche mauaji ya Tokomeza, Bulaya akaniambia kataa

    tadea. Siasa ndivo ilivo ni kawaida kuhama chama ni democracy ila kwa sasa ni pigo kwa chama husika
  14. G

    Mobile NBAA review classes

    level gani unahitaji... Intermediate au final level...?
Back
Top Bottom