Yaan ndg mleta Mada, hili limekuwa janga na sio kidogo tena limeenda hadi kwa waandishi na watangaza habari, utasikia wanasema "hifuatayo ni taarifa ya abari" baadala ya "ifutaatayo ni taarifa ya Habari" wananikera Kama nini.... Nimemsikia Samhela wa ITV
si kila mtu lazima awe tajiri hapa duniani wengine wanatoa huduma kwa jamii imagine tusingepata madaktari, profesa, halafu umeongelea nesi mbona huwa wanaishia form four tu wanaenda chuo hawafiki elimu ya juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.