Kurudi kwenye meza ya majariliano maana tukiongelea nguvu chadema wanayo na wanauwezo wa kuchukua majimbo mengi ila kususia ni kama kumpiga teke chura.
Ana hoja asikilizwe, nampenda Lissu na Heche ila kwenye#NRNE# walibugi wanapaswa kua sauti ya watu wao kwa kupeleka wawakilishi bungeni nchi pekee Afrika Mashariki wenye uwezo wa kuimpliment #NRNE# ni Kenya tu sio taifa hili ambalo 80% ya vijana ni wapenda umbea wanapoteza nguvu zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.