Recent content by Grey06

  1. G

    Responded Diamond Platnumz amjibu memba wa JamiiForums, amwambia "Mkataba wangu na Warner ni Sh Bilioni 13"

    Kama kweli alikataa $250,000 ni kweli anafahamu value yake.
  2. G

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Mbona kimuonekana hafanani na kesi yake alafu bado kijana huoni tutapoteza nguvu kazi ya taifa.
  3. G

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Kabisa kabisa mkuu anaweza kua na Bitcoin lakini sio 100.
  4. G

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Ukosahihi mkuu kilingana na bei yake ya sasa lakini wasiwasi wangu ni kua jamaa kaongezea chumvi.
  5. G

    Imagine mwanamke anapoteza maisha kwenye maandamano Kenya kama hivi ila Tanzania midume inakua chawa kwasababu ya uoga

    Ukweli ni kua asilimia 80% ya watanzania ni vilaza na ndio maana wengi wanapenda umbea na si vitu vya msingi.
  6. G

    Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    We jamaa acha matani unajua thamani ya Bitcoins 100 au unachekesha.
  7. G

    GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

    Tuongeze nguvu kuhakikisha vizazi vyetu vinasoma maana kwenye elimu bado tupo nyuma.
  8. G

    GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

    Naungana naye ana hoja nzito
  9. G

    GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

    Kurudi kwenye meza ya majariliano maana tukiongelea nguvu chadema wanayo na wanauwezo wa kuchukua majimbo mengi ila kususia ni kama kumpiga teke chura.
  10. G

    GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

    Ana hoja asikilizwe, nampenda Lissu na Heche ila kwenye#NRNE# walibugi wanapaswa kua sauti ya watu wao kwa kupeleka wawakilishi bungeni nchi pekee Afrika Mashariki wenye uwezo wa kuimpliment #NRNE# ni Kenya tu sio taifa hili ambalo 80% ya vijana ni wapenda umbea wanapoteza nguvu zao.
  11. G

    PreGE2025 Yesu hakuwatukana Watawala. Hata aliposikia Yohana amekatwa kichwa, alinyamaza. Kwanini?

    Kwahiyo Setfree unamaanisha sisi ni Yesu ? Au unajaribu kutumia maandiko vibaya???
Back
Top Bottom