Pole sana kwa changamoto hiyo mkuu, ni kitu kigumu sana kuwa na mwanamke mlevi kuzidi wewe au kuishi na mwanamke mlevi ilihali wewe si mlevi chakufanya mweleze kwa upole na upendo aachane na ulevi kwa afya ya malezi ya watoto ikishindikana mtafitie msaidizi awe bi mkubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.