Recent content by Grey06

  1. G

    JamiiForums Tanzania Magori ni kama Heche tu,baada ya uongozi wake kuziba upigaji na mianya utopolo kuifunga Simba

    Wanao mbwekea Magori ni mbwa wenye njaa.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya CHAUMMA Yawasilisha Waraka wa Kutokuwa na Imani na Salum Mwalimu

    Walivyo karibishwa jikoni wakaanza kudokoa ubwabwa:p
  3. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yerricko Nyerere kutimuliwa CHAUMMA

    Chadema kumbe ilifuga vibaka wengi kwa mda mrefu.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Wanaume Wenzangu mnawezaje kudeal na wanawake walevi?

    Kingine mkuu wanawake walevi tunadeal nao bar sio nyumbani shika hiyo.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Wanaume Wenzangu mnawezaje kudeal na wanawake walevi?

    Pole sana kwa changamoto hiyo mkuu, ni kitu kigumu sana kuwa na mwanamke mlevi kuzidi wewe au kuishi na mwanamke mlevi ilihali wewe si mlevi chakufanya mweleze kwa upole na upendo aachane na ulevi kwa afya ya malezi ya watoto ikishindikana mtafitie msaidizi awe bi mkubwa.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Responded Diamond Platnumz amjibu memba wa JamiiForums, amwambia "Mkataba wangu na Warner ni Sh Bilioni 13"

    Kama kweli alikataa $250,000 ni kweli anafahamu value yake.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Mbona kimuonekana hafanani na kesi yake alafu bado kijana huoni tutapoteza nguvu kazi ya taifa.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Kwanini umuombee kunyongwa mkuu???
  9. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Alikutapeli nini mkuu unaweza kutueleza??
  10. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Kabisa kabisa mkuu anaweza kua na Bitcoin lakini sio 100.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    Ukosahihi mkuu kilingana na bei yake ya sasa lakini wasiwasi wangu ni kua jamaa kaongezea chumvi.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Imagine mwanamke anapoteza maisha kwenye maandamano Kenya kama hivi ila Tanzania midume inakua chawa kwasababu ya uoga

    Ukweli ni kua asilimia 80% ya watanzania ni vilaza na ndio maana wengi wanapenda umbea na si vitu vya msingi.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SirJeff Khagolla (Alias Ontario) amedakwa Mafinga kwa kosa la Uhujumu Uchumi

    We jamaa acha matani unajua thamani ya Bitcoins 100 au unachekesha.
Back
Top Bottom