Kuna wakati mwingine huwa najiuliza nakosa majibu, kwa mtizamo wangu nilidhani watanzania tuwamoja, lakini tuna mfumo wa vyama vingi. Kuwa na vyama vingi hakumaanishi tuchukiane, tutukanane, au tumuone mwingine hafai kwa sababu ya chama chake. Kwani mwisho wa siku sisi tunabaki kuwa wa tz...