Recent content by Grena

  1. Grena

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Shirika lishajichokea, Unasimama kituoni masaa mawili unasubiri gari na hapo bado linapita limejaa. Serikali leteni private investors wasaidiane na Dart. Wananchi tunateseka Dart wameshindwa kazi
  2. Grena

    Msaada: Toka May 2023 hadi sasa sijapata passport, nimeambiwa mimi sio mtanzania

    Pole sana. Hao wanataka hela tu tafuta ofisa mmoja hapo uhamiaji jenga mazoea nae muelezee scenario ukimaliza kupiga ne story muachie Hela ya asante ili kuujenga ushkaji. Mbona atakupambania na jambo lako pia inabidi ulitolee mpunga mwingine ili alifanikishe. Ndani ya Wiki mbili utapata.
  3. Grena

    Kama tafsiri ya kubaka ni kumwingilia mtu kimapenzi bila ridhaa yake, basi vijana wengi walipaswa wawe mahakamani

    Hiyo ni aina ya ubakaji inaitwa Marital Rape. Yani unalazimishwa kushiriki na mwezi wako bila kupenda ili mradi aridhike.
  4. Grena

    Wapenzi wa Madilu System tukutane hapa

    Madilu system napenda nyimbo zake. Nlikuwa Kenya wanabar zinazopiga Rhumba tu, Yani ndo zilifanya nikapenda mziki wa Rhumba hasa nyimbo za Madilu Maana hauna fujo.
  5. Grena

    Baba yake Majaliwa mvuvi ajitokeza na kudai..

    Yani clouds wanazidi kujishusha na content zao zisizoelewa. Habari zao nowdays hazina tofauti na online media zilizoibuka kama Uyoga. Ruge kafa na hadhi ya kituo chali
  6. Grena

    Special thread: Tushirikishane magonjwa mbalimbali ya watoto na tiba zake

    Mimi mwanangu anasumbuliwa na kifua tangu akiwa na miezi 6 saivi anaenda miaka minne. Katumia Kila aina ya dawa nimezunguka mahospital kuona madaktari wa watoto Hadi basi. Anatumia dawa baada ya mwezi kinarudi anakohoa hatari, Antibiotics katumia Hadi basi sometimes kinazidi tunalazwa inabidi...
  7. Grena

    Je, wimbo ulishawahi kugusa maisha yako kwa namna yoyote?

    Habari zenu wakuu, Wanasemaga muziki ni food to the soul, na Mziki pia ni universal language kwamba unaweza usielewe lugha ya kinachoimbwa lakini nyimbo ikakugusa sana. Binafsi Kuna nyimbo imewahi Sana kugusa maisha yangu, Yani Kila wakati nikiisikia naona iligusa maisha yangu. Kuna kipindi...
  8. Grena

    Otile Brown na Sanaipendi waliua kwenye nyimbo ya chaguo la Moyo

    [emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa. Wakenya hawawapi nafasi wasanii wao wanaoimba RnB dizain ya kina Otile, wao wanapendelea genge tone. Lakini Cha ajabu bongo flava wanaipenda na wanaipa nafasi Sana kushinda local artists
  9. Grena

    Otile Brown na Sanaipendi waliua kwenye nyimbo ya chaguo la Moyo

    Ndo huyu mkuu, nyimbo zake zinajulikana kushinda yeye mwenyewe. [emoji1]
  10. Grena

    Otile Brown na Sanaipendi waliua kwenye nyimbo ya chaguo la Moyo

    Habari zenu wakuu, Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema ukweli waliua. Yani nyimbo tamu hata Ukiwa single unatamani kufall in Love, Verse na sauti zao ndo...
  11. Grena

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Kumbe ndo michezo hiyo. Me kabla sijameza dawa naigoogle naisoma weee, source tofauti tofauti na compare details. Nikiona haiendani na ugonjwa wangu simezi.
  12. Grena

    Mliowahi kutapeliwa Viwanja/Nyumba, Leteni uzoefu ilikuwaje

    Kumbe lile eneo linahistoria ya bomoa bomoa kabla.
  13. Grena

    Mliowahi kutapeliwa Viwanja/Nyumba, Leteni uzoefu ilikuwaje

    Mimi nimejifunza heri utumie gharama kubwa, lakini Bora ununue kiwanja kilichopimwa na chenye hati. Hivyo Mara nyingi havina longolongo
  14. Grena

    Mliowahi kutapeliwa Viwanja/Nyumba, Leteni uzoefu ilikuwaje

    Mkuu na wewe Ni muhanga wa hii bomoa bomoa ya juzi?
  15. Grena

    Mliowahi kutapeliwa Viwanja/Nyumba, Leteni uzoefu ilikuwaje

    Pole mkuu, kisa chako ilikuwaje Kama hutajali kushare.
Back
Top Bottom