Binafsi tangu nimeanza kuufuatilia huu uzi sijawahi kuona train inatoka Dar hadi kigoma kabla haijapata ajari na nimekuwa nikijitaidi sana kuunga tera(trail) kwenye tren nyingi tu,kama ukikaa ukasubiri train ligote mwisho wa reli utaumia kila siku,haya matreni ni ya kuvizia tu limepunguza mwendo...
Watanzania hawaachi kusema, yule Fisadi, huyo Katili mara anatutesa na huyu anaupiga mwingi kinafiki.
Huwezi kuongoza nchi ya mamilioni ya watu na ukategemea kumuimpress kila mmoja ifike mahali tukubaliane tu hii ndo nchi yetu hatuna pa kwenda zaidi, tutaibiwa, tutakopa hii mikopo ya kausha...
Sidhani kama Fei alijichukulia maamuzi,wanaomrubuni yule kijana nafikiri ndo wanaharibu career yake,hata ile kauri ya kwamba Fei hana tena mapenzi na Yanga ni kumfunga ili hata ikitokea akahitaji kurudi Yanga basi shabiki wasiwe na imani Naye tena..katika maisha chunga sana watu unaowaweka...
Halftime/Full time results
Ni kwamba ukibet Home/draw inatakiwa mpaka kipindi cha kwanza kinaisha iwe inaongoza timu ya nyumbani ila full time wamalize game ikiwa draw
Ni simple tu kuelewa hiyo option
Kiufupi unakuwa umebet matokeo ya halftime na yale ya fulltime
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.