ukiwa Tajiri raha sana, unakuwa na ujasiri wa kuongea mawazo binafsi, kama huyu jamaa!
Ukiwa mbunge mwenye njaa huwezi kutoa challenge kama hizi
Big up
Kishimba
Mimi ilinikuta, muhudumu wa hotel alinionesha dharau,
Nikamchunia siku hiyo, nikapanga kukipiza,
Nikamtongoza na nikahakikisha amedata nami nikala mzigo halafu nikapiga chini!
Na nikamchana ukweli, nilikuwa nakuonyesha mie ni zaidi yako!
Mpaka leo mnyonge!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.