Habari ya upimaji wa tezi dume imeshitua mioyo na akili za wanaume wa dar es salaam kiasi kwamba miongoni mwetu wanatamani kulikimbia jiji. Wengine wameisha kata tamaa ya kuishi uraiani na kuamua kujiandaa kuishi gerezani.
Naomba nitoe rai kwa wanaume wenzangu kuwa hatuna haja ya KUOGOPA.
1...
miss zomboko, Acha kutuibia, hivi vijiko kumi vya sukari unavijua kweli. Zungumza maana yenye logic. Weka vijiko 10 vya sukari kwenye kikombe cha chai alafu uone kama itanyweka hiyo chai.
Swala la kuongezeka uzito sina uhakika wa kuongezeka kasababu mimi ni miongoni mwa watumiaji wakubwa wa...
Vipi kuhusu shs. Tilion 1.5, huu ni wizi ulio vunja record ya zaidi ya millenium mbili.
Unasema kakomesha upendeleo, vp kuhusu bomoa bomoa ya Dar iwe halali kwasababu hawakumpigia kura halafu mwanza walimpa kura nyingi wasiwabomolewe ?
je vp kuhusu wasifu wa paul makonda ninamaana vyeti vyake...
Pato la ndani la taifa limeongezeka, matumizi yake na maendeleo yake yakowapi. Thamani ya shiringi inazidi kuporomoka yupo wapi mwokozi wake ? Je kaudhibiti namna gani mfumuko wa bei ?
au kwa mtoa maoni anapoitwa mchochezi ndio uzalendo halisi?
Mbona umeshindwa kuainisha matumizi ya zaidi ya Tshs. trilion 1.5 ( zaidi ya Tshs. bilion 1500). Tueleze zimetumikaje.
Milion 50 Tshs. Kwa kila kijiji zimefikia wapi ?
Huduma bora maslai zaidi. Motisha kwa wafanyakazi zipo wapi.
Vyeti feki na malipo yasiyostahili kufuatana na elimu mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.