Swali la ufahamu!
Hizo oili fake wanatumia malighafi gani? Wana mitambo yoyote inayoweza kuchakata hiyo mali ghafi walau ifanye kitu kama Oil husika?
Mbona hapo naona ni vijana wachovu na wanatumia mikono zaidi, au hiyo packaging stage tu baada ya uhuni wa wakubwa zao!
TBS bado wapo nchini?
Nje ya mada kidogo! Hivi hadi Marekani kuingilia kati, ni kwamba jeshi la Nigeria liliwashindwa hao Magaidi? Kama ndio, hilo jeshi linaweza kweli kuilinda nchi hiyo dhidi ya jeshi lingine vamizi la nchi nyingine?
Hakuna uzuri hapo mkuu! Huwezi ku jeopardise kodi yangu mwananchi kwenye embezzlement, hanasa na ufisadi serikalini kisha in return ukope pesa ya riba World Bank uje uniwekee TAA za barabarani halafu nikusifu.
Dharau hizo.
Vitu petty sana hivyo! Hivi hii nchi ni ya kutegemea mkopo kuweka taa za barabarani kweli?
Nadhani kabla ya kusifia fikiria kwanza ugumu wa jambo husika. Taa 1 ya barabarani haizidi 1.5 mil. Halafu chukua walau gari 3 tu za serikali (zilizonunuliwa mwaka huu) convert kwenye idadi ya taa uone...
Aisee! Unajua role ya mwananchi kama Lissu na what was supposed to be the response of the government to Mr. Lissu? Was it to shoot him for what you purport him to be a "nuisance"?
Well, sidhani kama ni sahihi kwamba wananchi wote lazima tuwe na hizo "qualifications" ndio tuwe nafasi ya kuhoji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.