Recent content by GreenCity

  1. GreenCity

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Swali la ufahamu! Hizo oili fake wanatumia malighafi gani? Wana mitambo yoyote inayoweza kuchakata hiyo mali ghafi walau ifanye kitu kama Oil husika? Mbona hapo naona ni vijana wachovu na wanatumia mikono zaidi, au hiyo packaging stage tu baada ya uhuni wa wakubwa zao! TBS bado wapo nchini?
  2. GreenCity

    KERO Huu utaratibu wa Shule za Sekondari za kutwa kugeuzwa kuwa za Bweni (Kambi) ni kero kubwa. Serikali iko kimya hadi pale madhara makubwa yatakopotokea

    Naunga mkono hoja hii kwa nguvu! Hii yote inasababishwa na siasa mbovu za hii nchi. Too risk, na inatweza utu wa watoto na walimu pia.
  3. GreenCity

    Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

    Umaskini sio sifa nzuri pia!
  4. GreenCity

    Rais Ahmed Tinubu na jeshi la Nigeria wameshirikiana kuangamiza magaidi. Kwanini baadhi ya waislam wamenuna?

    Nje ya mada kidogo! Hivi hadi Marekani kuingilia kati, ni kwamba jeshi la Nigeria liliwashindwa hao Magaidi? Kama ndio, hilo jeshi linaweza kweli kuilinda nchi hiyo dhidi ya jeshi lingine vamizi la nchi nyingine?
  5. GreenCity

    Marekani na Uingereza walifanya kosa kubwa la kimkakati kuungana na USSR dhidi ya Hitler na Ujeruman yake

    Mkuu sio kila wazo au hisia inayokupitia kichwani uiandikie thread! It's not a crime to just read other's threads! Unatoa matango pori, recently!
  6. GreenCity

    Marekani na Uingereza walifanya kosa kubwa la kimkakati kuungana na USSR dhidi ya Hitler na Ujeruman yake

    Ulitulia zako mwenyewe kwenye kijiwe cha kahawa, ukasikiliza hizi story. Hayo maswali kwanini usingeuliza wewe na uthibitisho?
  7. GreenCity

    Utawala wa Rais, Samia Suluhu Hassan unastahili kongole kwa barabara za Mitaa na taa za barabarani

    Hakuna uzuri hapo mkuu! Huwezi ku jeopardise kodi yangu mwananchi kwenye embezzlement, hanasa na ufisadi serikalini kisha in return ukope pesa ya riba World Bank uje uniwekee TAA za barabarani halafu nikusifu. Dharau hizo.
  8. GreenCity

    Utawala wa Rais, Samia Suluhu Hassan unastahili kongole kwa barabara za Mitaa na taa za barabarani

    Vitu petty sana hivyo! Hivi hii nchi ni ya kutegemea mkopo kuweka taa za barabarani kweli? Nadhani kabla ya kusifia fikiria kwanza ugumu wa jambo husika. Taa 1 ya barabarani haizidi 1.5 mil. Halafu chukua walau gari 3 tu za serikali (zilizonunuliwa mwaka huu) convert kwenye idadi ya taa uone...
  9. GreenCity

    Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Aisee! Unajua role ya mwananchi kama Lissu na what was supposed to be the response of the government to Mr. Lissu? Was it to shoot him for what you purport him to be a "nuisance"? Well, sidhani kama ni sahihi kwamba wananchi wote lazima tuwe na hizo "qualifications" ndio tuwe nafasi ya kuhoji...
Back
Top Bottom