Recent content by greater than

  1. greater than

    Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

    Kwa kipi hasa cha kufanya Morogoro iwe namba 3...?
  2. greater than

    Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

    Unguja kiusalama ipo vizuri kwakweli
  3. greater than

    Mambo kumi kuhusu ujenzi niliyoyaona Dodoma

    Ihumwa viwanja vipo,inategemea sasa wewe unalenga uwekezaji kwa upande upi... 1.Makazi ya biashara : Maeneo ya Ihumwa Secondary (Karibu na mji wa Serikali) - Maeneo ya Horohoro ,Kwa Mwinyi,Elshadai (mitaa iliyopangwa) 2. Biashara : -Upande wa Barabara ya Mzunguko,Ihumwa mwisho na Ihumwa machinjio...
  4. greater than

    Mambo kumi kuhusu ujenzi niliyoyaona Dodoma

    Karibuni tena katika makala yetu yenye kuangazia kuhusu masuala ya Ujenzi. Nipo kikazi katika mkoa wa Dodoma, leo nitapenda niangazie mambo kadhaa ya Ujenzi niliyo yaona Dodoma. 1. UPATIKANAJI WA MATILIO ZA VIWANDANI Kuna ugumu wa upatikanaji wa matilio ukilinganisha na Mwanza,Arusha au Dar...
  5. greater than

    Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

    Kila kitu ovyo wakati inalisha nchi...
  6. greater than

    KUJENGA NYUMBA KWA TOFALI ZA KUCHOMA KWA KUTUMIA UDONGO MWEKUNDU,NA KUJENGA KWA TOFALI ZA CEMENT KIPI BORA KIUFUNDI ZAIDI???.

    Kama ndugu Druggist alivyosema ..Udongo kuwa mwekundu haimaanishi kama ni bora sana... - Maeneo yote yaliyopitiwa na Bonde la ufa kwa hapa nchini,,,ni Yana udongo mzuri wenye asili ya kemikali zinazotumika kutengenezea Saruji/Simenti... - Ubora wa jengo utaamuliwa na utumizi sahihi wa matilio...
  7. greater than

    " A Frame house" Nyumba zenye umbo A

    Wakati wasema pwani mbao hazifai..unasahau kuwa 1. Ngalawa na Meli kubwa nyingi zilitengenezwa kwa mbao na zinapita kwenye maji tena ya Chumvi... 2. Magofu ya Bagamoyo ni yalitumia mbao badala ya nondo 3.Nenda Zanzibar ukaone ujenzi wa Resort ukifanywa kwa mbao Kwenye Materials science...
  8. greater than

    " A Frame house" Nyumba zenye umbo A

    Kuna mbao,,zenye: 1.Kuhimili maji chumvi 2.Kuhimili kemikali 3.Ugumu wa Chuma 4.Kudumu hadi karne 5.Kuhimili joto 6.Kuhimili wadudu... Tafuta mda jifunze juu ya miti kama Cedar,Redwood,Ikoro,Teak,Oak,Douglas Fir and Clove tree.... Sababu kubwa ya mbao kutotumika kwa baadhi ya maeneo ni -Kukosa...
  9. greater than

    Maelekezo kujenga kitu kama hiki

    - Hiyo Floor plan na hiyo 3D (picha) mboni haviendani kabisa.. -Kiwanja chako kinasemaje kwanza -Vipimo ni muhimu,kwani vinaweza kubadili muonekano mzima wa hiyo ramani yako
  10. greater than

    " A Frame house" Nyumba zenye umbo A

    Kuna vipengele kadhaa nataka kuweka sawa... 1.Huku kuwa Mazingira ya Joto : Kwanza inabidi utambue kuwa Mbao ina uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na Joto... -Yaan mbao ni nzuri kwenye joto kuliko Zege au Matofali ya kawaida. 2.Uharibifu wa mchwa : Kemikali za kukabiliana na wadudu waharibifu...
  11. greater than

    Mnaoishi Dar, eneo gani unalisikia ila hujawahi kufika?

    Maeneo ya wilaya ya Ilala,ambayo nina uhakika wengi hamja wahi fika au hampajaui. 1.Zavala 2.Viwege 3.Mbondole 4.Kigezi 5.Kiyombo 6.Ngobedi/Zingiziwa 7.Nzasa 8.Mkongeni 9.Mwanagati 10.Msongola 11.Mchafukoge...
  12. greater than

    Hivi ni kitu gani kinautambulisha Arusha kama lango la Utalii?

    Na haipo Musoma, ipo wilaya ya Serengeti...
Back
Top Bottom