Recent content by greater than

  1. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Wewe unabaki kusema sababu za kihistoria wakati Wenzako ndiyo wakopeshaji wakubwa wa ndani katika bajeti ya serikali... Tembelea minada ya Hati fungani ukajionee...
  2. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ni Moja kati ya wanahisa wakubwa katika makampuni yafuatayo 1.NMB 2.CRDB 3.NICOL 4.AFRPRISE 5.TWIGA Soma annual report... Acha uvivu,nenda kasome hizo nyaraka halafu ndiyo uje. Kwenye Ujenzi. Katika orodha ya Majengo 10 marefu na makubwa Tanzania,zaidi ya nusu ni...
  3. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    1. Kama ulikuwa haujui,Hizo taasisi ya mifuko ya Jamii ni.. Wanahisa wakubwa katika makampuni yaliyopo kwenye soko la hisa (soma ripoti za mwaka za makampuni ya DSE) Wanahisa wakubwa katika mfuko wa UTT Wamiliki wakubwa wa Hati fungani za serikali Wajenzi wakubwa wa majengo hapa nchini 2...
  4. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    1. Umiliki wa nje ni umepungua tofauti na ilivyokuwa mwanzo.,hii imetokana. Watu hawakuwa na uelewa na masuala ya hisa na masoko ya mitaji Kiwango cha wanahisa ndani ya kipindi cha miaka 5,kimeongezeka kwa zaidi ya 300%,soma ripoti ya DSE Miundombinu mbinu wezeshi ya watu kushiriki kwenye...
  5. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Hata hayo makampuni yalifaidika kwa upendeleo flani kutoka serikalini... Kampuni ikishakuwa kubwa sana ,kwa maslahi ya Taifa,Serikali ina uwezo kuilazimisha kujigawa,kuuza umiliki au kuachia baadhi ya biashara. Hiyo inafanyika duniani kote. Na hizo sera zinasaidia kupunguza gape la wenye nao na...
  6. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Sawa ,lakini angalau vitu vitakuwa adharani...
  7. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    1. Kampuni inaweza kuwa kwenye soko la hisa zaidi ya Moja... Kwa mfano Jubilee,Vodacom na Swissport yote haya ni ya nje ya nchi na yapo kwenye soko la hisa la DSE... 2. Yakifamilia : Yanaweza weza 49% ya hisa sokoni. Kuepusha kutumika katika biashara chafu Kugawana faida ya rasilimali kuzuia...
  8. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Sera ya kulazimisha ina paswa kutumika kwa 1. Makampuni ya nje ambayo yanavuna hapa nchini, ili watu waweze kuwekeza na kufaidika na rasilimali kwa urahisi. hii sera inatumika duniani kote. Bila hivyo hutoona kampuni ya nje itajitolea kuingia. 2. Baada ya mda wa hiari kupita,kuna makampuni yana...
  9. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Nakumbuka Hayati Magufuli alileta sera kama hiyo haswa kwa kulenga makampuni ya simu,na walipewa mda maalum... Vodacom wakajiunga kwa uharaka,na mengine yakawa yanajiandaa. Lakini alipofariki,nayo ikajifia
  10. greater than

    Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Kwa uchumi wa nchi yetu ulipofikia sasa,Serikali haioni tija ya kuwa na sera itakayo vutia na kulazimisha makampuni makubwa kujiunga na soko la Hisa la DSE Faida ya Makampuni kuwa katika soko la hisa Upatikanaji wa Mtaji wa Gharama Nafuu Kuongeza Thamani na Hadhi ya Kampuni Kuongeza ufanisi na...
  11. greater than

    Mkoa/Wilaya gani watu wake wanaongoza kwa uvivu...?

    Hizo kazi smart ni zipi kiongozi...? Ukweli unauma.
  12. greater than

    Mkoa/Wilaya gani watu wake wanaongoza kwa uvivu...?

    Sasa kwa Watu wa Dodoma,Chalinze na Kisarawe ,wanaenda kuvua wapi...? Na hapo kwenye kujitetea kwenye uvuvi ni uongo tu...kama Jamii nzima ni wavuvi,hizo samaki wanauzia akina nani..?
  13. greater than

    Mkoa/Wilaya gani watu wake wanaongoza kwa uvivu...?

    Matokeo ya kazi huonekana kwenye maendeleo ya sehemu husika..... Sasa kwa Kisarawe na Chalinze,,wanavua bahari ipi mkuu...
  14. greater than

    Mkoa/Wilaya gani watu wake wanaongoza kwa uvivu...?

    Hata hizo za U-smart hazionekani,ndiyo maana jiji limedorora.
  15. greater than

    Mkoa/Wilaya gani watu wake wanaongoza kwa uvivu...?

    Kule Chalinze kwa Wakwere,watu wana heka za kutosha za mashamba lakini unakuta analima Robo heka,,, Tena kilimo chenyewe mbegu ni zinatupwa tu.
Back
Top Bottom