Swali la Msingi
1.Je,inaruhusiwa kisheria...?
2 Je,ni sawa kitaaluma
Kuna shule zipo hivyo ,ukichunguza shule ipo ndani ya eneo la Taasisi mf.Shule ya msingi Mbuyuni.
Eneo ni la Kanisa Katoliki
Sehemu moja kukosea na kufumbiwa macho,haihalalishi jambo halam...
Kwanza inamega eneo la shule ambalo lingekuwa na matumizi...
Pili inakaribisha shughuli zenye kubugudhi upatikanaji wa taaluma
Tatu inaweza ondoa umakini wa walimu kwenye kufundisha pale panapokuwa na mzozo wa kifedha za kodi za Fremu
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka....
Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu Kajiungeni.
1. Je,hili suala ni linaruhusiwa...
2. Kama ni sawa ,mfumo wa uksanyaji pango na faida yake...
Factor kubwa ya Choo cha kupoteza maji ardhi ni
1. Kina kutoka usawa wa bahari
2. Umbali / Kina kutoka mwamba mgumu wa kuzuia maji (water table)
Sasa wewe unaleta ujenzi wa mazoea na stori za Mzee wako....
Ardhi hazifanani....
In short : Hivyo vyoo ni vizuri kama eneo lina height from sea...
"Ninunue hisa za kampuni ipi ?"
Hili ni moja ya swali ambalo kila Mwanahisa alishawahi kujiuliza au huwa anajiuliza. Leo nitatoa njia nyepesi ambazo utatumia katika kuchagua kampuni utakayoenda nunua hisa zake
NJIA hizo ni
1. Bei ya hisa : Unapofika sokoni,bei huwa ni moja ya kipimo kizuri...
Fanya tafiti ya Broker mzuri,kampuni gani nzuri ya kuwekeza...
Kuna brokers wana tawi mpaka huku Bongo...
Lakini pia balozi ya nchi husika wapo kwa ajili ya misaada ya mambo kama hizo
Moja ya kipengele muhimu cha kuangalia kabla ya kununua Hisa za kampuni flani,ni Mapato ya kampuni.
Kampuni inaweza ikawa ina thamani kubwa labda kutokana na muhemko wa soko katika hiko kipindi lakini unapokuja kwenye biashara,ni kampuni nyengine ndiyo inayoongoza kwa kuzalisha mapato makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.