Recent content by greater than

  1. greater than

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa haya mashimo ya Choo ni bora?, tuambizane tusije kujichanganya

    Biodigester ni kwa ajili ya kuchakata kinyesi na kufanya kisiaje tu... Lakini ishu ya maji ipo pale pale
  2. greater than

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa haya mashimo ya Choo ni bora?, tuambizane tusije kujichanganya

    Factor kubwa ya Choo cha kupoteza maji ardhi ni 1. Kina kutoka usawa wa bahari 2. Umbali / Kina kutoka mwamba mgumu wa kuzuia maji (water table) Sasa wewe unaleta ujenzi wa mazoea na stori za Mzee wako.... Ardhi hazifanani.... In short : Hivyo vyoo ni vizuri kama eneo lina height from sea...
  3. greater than

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Uwepo wa Myerere NP,Mapori ya akiba na mito mikubwa , Imefanya wilaya zake ziwe mbali mbali sana....
  4. greater than

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Chanika ni Dar,,,na hakuna ardhi kwa bei hiyo... Labda kama unazungumzia Kisarawe
  5. greater than

    JamiiForums Tanzania Je, Mtanzania anaweza kununua hisa kwenye makampuni ya Kenya?

    KCB na Equity Bank ni za Kenya and zina matawi huku
  6. greater than

    JamiiForums Tanzania Samsung ni zaidi ya simu huko Korea Kusini

    Umesema Billion 150 ni zaidi ya mapato ya nchi 150....Yan,jumla ya GDP ya nchi hizo au...?
  7. greater than

    JamiiForums Tanzania DSE 1,2,3 : "Ninunue hisa za kampuni ipi ?"

    "Ninunue hisa za kampuni ipi ?" Hili ni moja ya swali ambalo kila Mwanahisa alishawahi kujiuliza au huwa anajiuliza. Leo nitatoa njia nyepesi ambazo utatumia katika kuchagua kampuni utakayoenda nunua hisa zake NJIA hizo ni 1. Bei ya hisa : Unapofika sokoni,bei huwa ni moja ya kipimo kizuri...
  8. greater than

    JamiiForums Tanzania Je, Mtanzania anaweza kununua hisa kwenye makampuni ya Kenya?

    Fanya tafiti ya Broker mzuri,kampuni gani nzuri ya kuwekeza... Kuna brokers wana tawi mpaka huku Bongo... Lakini pia balozi ya nchi husika wapo kwa ajili ya misaada ya mambo kama hizo
  9. greater than

    JamiiForums Tanzania Yote kuhusu D.S.E: Kampuni zilizotengeneza faida kubwa 2020-2024

    Moja ya kipengele muhimu cha kuangalia kabla ya kununua Hisa za kampuni flani,ni Mapato ya kampuni. Kampuni inaweza ikawa ina thamani kubwa labda kutokana na muhemko wa soko katika hiko kipindi lakini unapokuja kwenye biashara,ni kampuni nyengine ndiyo inayoongoza kwa kuzalisha mapato makubwa...
  10. greater than

    JamiiForums Tanzania Je, Mtanzania anaweza kununua hisa kwenye makampuni ya Kenya?

    Dawa ni kumiliki passport na kupakua download app ya soko husika... Next year nimepanga nijiunge na NSE ya Kenya
  11. greater than

    JamiiForums Tanzania DSE 1,2,3.. : Kampuni zenye thamani kubwa katika Soko la Hisa

    Zile kampuni zenye alama ya Onyo kwa watumiaji wa bidhaa zake ndiyo zimekuwa vinara kwa kuwa na thamani kubwa kwa miaka 5 mfululizo ...Japo kwa miaka ya karibuni Mabenki yamekuwa yakija kwa kasi. Ambapo kwa mwaka 2025,Benki ya NMB ndiyo imekuwa kampuni kubwa Tanzania na ya pili kwa ukubwa ka...
  12. greater than

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Soko La Hisa La Afrika Kusini lina kampuni 251 ila Bongo (DSE) soko lina kampuni 28 tu? Kwanini kampuni kubwa hazijiungi??

    Ulazima unakuja kutokana na manfuaa makubwa yaliyopo kwa Serikali ,Mmiliki na mwananchi wa kila siku
  13. greater than

    JamiiForums Tanzania Je, Mtanzania anaweza kununua hisa kwenye makampuni ya Kenya?

    Japo sijawahi fanya hivyo lakini ndiyo inawezekana... Tena unaweza nunua hisa katuka masoko yote ya hapa Afrika, ilimradi uwe na Passport tu.
  14. greater than

    JamiiForums Tanzania DSE 1,2,3.. : Kampuni zenye thamani kubwa katika Soko la Hisa

    Ushawahi kujiuliza ipi ni kampuni kubwa hapa nchini...? Japo msemo "Kampuni kubwa ni tungo tata" lakini mara nyingi huangazia ukubwa wa Thamani ya kampuni katika soko la hisa Thamani ya Kampuni/Market value hupatikana kwa kuzidisha idadi ya hisazilizopo sokoni za kampuni husika kwa bei ya hisa...
  15. greater than

    JamiiForums Tanzania DSE 1,2,3,- Kampuni zenye kiwango kizuri cha gawio 2020-2024

    Brother, hapa ni ninaongelea soko la hisa
Back
Top Bottom