"Ninunue hisa za kampuni ipi ?"
Hili ni moja ya swali ambalo kila Mwanahisa alishawahi kujiuliza au huwa anajiuliza. Leo nitatoa njia nyepesi ambazo utatumia katika kuchagua kampuni utakayoenda nunua hisa zake
NJIA hizo ni
1. Bei ya hisa : Unapofika sokoni,bei huwa ni moja ya kipimo kizuri...
Fanya tafiti ya Broker mzuri,kampuni gani nzuri ya kuwekeza...
Kuna brokers wana tawi mpaka huku Bongo...
Lakini pia balozi ya nchi husika wapo kwa ajili ya misaada ya mambo kama hizo
Moja ya kipengele muhimu cha kuangalia kabla ya kununua Hisa za kampuni flani,ni Mapato ya kampuni.
Kampuni inaweza ikawa ina thamani kubwa labda kutokana na muhemko wa soko katika hiko kipindi lakini unapokuja kwenye biashara,ni kampuni nyengine ndiyo inayoongoza kwa kuzalisha mapato makubwa...
Zile kampuni zenye alama ya Onyo kwa watumiaji wa bidhaa zake ndiyo zimekuwa vinara kwa kuwa na thamani kubwa kwa miaka 5 mfululizo ...Japo kwa miaka ya karibuni Mabenki yamekuwa yakija kwa kasi.
Ambapo kwa mwaka 2025,Benki ya NMB ndiyo imekuwa kampuni kubwa Tanzania na ya pili kwa ukubwa ka...
Ushawahi kujiuliza ipi ni kampuni kubwa hapa nchini...?
Japo msemo "Kampuni kubwa ni tungo tata" lakini mara nyingi huangazia ukubwa wa Thamani ya kampuni katika soko la hisa
Thamani ya Kampuni/Market value hupatikana kwa kuzidisha idadi ya hisazilizopo sokoni za kampuni husika kwa bei ya hisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.