Wewe unabaki kusema sababu za kihistoria wakati Wenzako ndiyo wakopeshaji wakubwa wa ndani katika bajeti ya serikali...
Tembelea minada ya Hati fungani ukajionee...
Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ni Moja kati ya wanahisa wakubwa katika makampuni yafuatayo
1.NMB
2.CRDB
3.NICOL
4.AFRPRISE
5.TWIGA
Soma annual report...
Acha uvivu,nenda kasome hizo nyaraka halafu ndiyo uje.
Kwenye Ujenzi.
Katika orodha ya Majengo 10 marefu na makubwa Tanzania,zaidi ya nusu ni...
1. Kama ulikuwa haujui,Hizo taasisi ya mifuko ya Jamii ni..
Wanahisa wakubwa katika makampuni yaliyopo kwenye soko la hisa (soma ripoti za mwaka za makampuni ya DSE)
Wanahisa wakubwa katika mfuko wa UTT
Wamiliki wakubwa wa Hati fungani za serikali
Wajenzi wakubwa wa majengo hapa nchini
2...
1. Umiliki wa nje ni umepungua tofauti na ilivyokuwa mwanzo.,hii imetokana.
Watu hawakuwa na uelewa na masuala ya hisa na masoko ya mitaji
Kiwango cha wanahisa ndani ya kipindi cha miaka 5,kimeongezeka kwa zaidi ya 300%,soma ripoti ya DSE
Miundombinu mbinu wezeshi ya watu kushiriki kwenye...
Hata hayo makampuni yalifaidika kwa upendeleo flani kutoka serikalini...
Kampuni ikishakuwa kubwa sana ,kwa maslahi ya Taifa,Serikali ina uwezo kuilazimisha kujigawa,kuuza umiliki au kuachia baadhi ya biashara.
Hiyo inafanyika duniani kote.
Na hizo sera zinasaidia kupunguza gape la wenye nao na...
1. Kampuni inaweza kuwa kwenye soko la hisa zaidi ya Moja...
Kwa mfano Jubilee,Vodacom na Swissport yote haya ni ya nje ya nchi na yapo kwenye soko la hisa la DSE...
2. Yakifamilia : Yanaweza weza 49% ya hisa sokoni.
Kuepusha kutumika katika biashara chafu
Kugawana faida ya rasilimali
kuzuia...
Sera ya kulazimisha ina paswa kutumika kwa
1. Makampuni ya nje ambayo yanavuna hapa nchini,
ili watu waweze kuwekeza na kufaidika na rasilimali kwa urahisi.
hii sera inatumika duniani kote.
Bila hivyo hutoona kampuni ya nje itajitolea kuingia.
2. Baada ya mda wa hiari kupita,kuna makampuni yana...
Nakumbuka Hayati Magufuli alileta sera kama hiyo haswa kwa kulenga makampuni ya simu,na walipewa mda maalum...
Vodacom wakajiunga kwa uharaka,na mengine yakawa yanajiandaa.
Lakini alipofariki,nayo ikajifia
Kwa uchumi wa nchi yetu ulipofikia sasa,Serikali haioni tija ya kuwa na sera itakayo vutia na kulazimisha makampuni makubwa kujiunga na soko la Hisa la DSE
Faida ya Makampuni kuwa katika soko la hisa
Upatikanaji wa Mtaji wa Gharama Nafuu
Kuongeza Thamani na Hadhi ya Kampuni
Kuongeza ufanisi na...
Sasa kwa Watu wa Dodoma,Chalinze na Kisarawe ,wanaenda kuvua wapi...?
Na hapo kwenye kujitetea kwenye uvuvi ni uongo tu...kama Jamii nzima ni wavuvi,hizo samaki wanauzia akina nani..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.