Recent content by Greataziz

  1. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Kama TANESCO wameshindwa kazi na wamekosa dira, kwanini wasiruhusu makampuni binafsi yagawe umeme?

    Kumbuka umeme ni huduma ya muhimu sidhani kama ikulu inanipa faida sana hata kama ikiwa Outsourced ili umeme upatikane
  2. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Kama TANESCO wameshindwa kazi na wamekosa dira, kwanini wasiruhusu makampuni binafsi yagawe umeme?

    Kama mabwawa yakikauka yote nchini manake tutakua gizani milele manake uongozi hauna mkakati wala dira wanaenda tu kama kichwa cha mwendawazimu maana kila mwaka ni mgao mgao hamna mbinu za kuja na mkakati wa kutatua hili watasema VITA ila licha ya VITA wenzetu umeme haukatiki hovyo
  3. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Kama TANESCO wameshindwa kazi na wamekosa dira, kwanini wasiruhusu makampuni binafsi yagawe umeme?

    Bora tutaamua sisi tuchague Tanesco au kampuni ingine inayotoa huduma bora na wao wataamka na kuacha kufanya kazi kimazoea, kama nanunua unit moja kwa 350 na bado huduma mbovu nikiuziwa na kampuni ingine unit 1 kwa 450 ila umeme wa uhakika sioni hasara
  4. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Kama TANESCO wameshindwa kazi na wamekosa dira, kwanini wasiruhusu makampuni binafsi yagawe umeme?

    Aiseee unanifumbua macho Kumbe ni mkakati wa kuuza jenereta ila haya mambo hayakuwepo wakati wa Kaleman na Magufuli mgao wa umeme ulikuwa ni historia walipoingia tu huyu waziri ndio tumeanza kuona hili tatizo la mara bwawa limekauka mpaka anachukua ndege kupiga picha....
  5. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Kama TANESCO wameshindwa kazi na wamekosa dira, kwanini wasiruhusu makampuni binafsi yagawe umeme?

    Hili huwa najiuliza mara kwa mara Sana Naombeni JamiiForums msilichanganye kule kwenye thread ya TANESCO macomment mengi sana huenda hata hawataona maana hii imekua kero sana kwa sisi Raia. Waziri na wizara kwa ujumla sijui kama Wana Mkakati wowote wa kuondokana na Tatizo La Mgao wa Umeme naona...
  6. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Tupeane Mawazo Kidigital

    Biashara Gani Nzuri kufanya kijana wa sasa ambaye ana degree zake na mtaji wa kujibana ili asisumbuliwe na mamlaka mara kwa mara na kuua mtaji
  7. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Nini hasa sababu ya Msingi ya Urusi kuvamia nchi Huru Kabisa. Weka ushabiki pembeni kabisa, usizunguke usinambie kisa anahofia atajiunga NATO yaani kisa cha Mrusi kuanza kuvamia na kulipua miji UKRAINE ni nini Hasa. Sidhani kama eti anahofia atajiunga NATO ndio iwe sababu ya kuanza kuua watu...
  8. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mimi nataka like na watu wa kuni follow kama kweli hii ni Jamii Familia Fanya kuni follow nafollow hapo hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Msaada Kidogo Kielimu Hapa Anayejua Jinsi ya Kutoa Pesa Kutoka Paypal

    Never Tried That Japo Account ya Payoneer ninayo na kadi ya zamani so far kwa nijuavyo sidhani kama payooner ni Bank Bali ninadhani wale jamaa wana deal na issue za online pekee kuna place paypal ukiwa unajaza utatakiwa weka account namba na kadi namba sasa payoneer zenyewe zina card namba pekee
  10. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Msaada Kidogo Kielimu Hapa Anayejua Jinsi ya Kutoa Pesa Kutoka Paypal

    BTC Ilivoporomoka mkuu si nitapata hasara sana au nina elimu ndogo na btc
  11. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Msaada Kidogo Kielimu Hapa Anayejua Jinsi ya Kutoa Pesa Kutoka Paypal

    Vipi nikutumie i mean account yako sio Registered Tz
  12. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Msaada Kidogo Kielimu Hapa Anayejua Jinsi ya Kutoa Pesa Kutoka Paypal

    Thanks for the Heads Up Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Msaada Kidogo Kielimu Hapa Anayejua Jinsi ya Kutoa Pesa Kutoka Paypal

    Thanks A lot boss ngoja nizame hapo kwa link nipitie pitie
  14. Greataziz

    JamiiForums Tanzania Msaada Kidogo Kielimu Hapa Anayejua Jinsi ya Kutoa Pesa Kutoka Paypal

    Vipi ulipokea via paypal kisha ukampata mday wa abroad akakutolea akatuma
Back
Top Bottom