babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,161
- 5,971
Mkuu mbona unaumiza kichwa hivo siku hizi line za safaricom zipo kibao tz .buku kumi tu unamiliki line yako ya safaricom.unaunganisha na paypal unajitumia then unatoa kupitia mpesa yako kiroho safi.hapa kwenye cm yangu nineiweka roaming coz naitumia kwa madili yangu ya mtandaoni
Vipi nikutumie i mean account yako sio Registered Tz