nimekubali mkuu,nimeisoma deep na nikagundua mavazi ya ndani kama boxer, yanayobana kwa mwanaume si mazuri kwa production ya boy. Ts a useful link. Heko
viongozi wetu hapa tz wengi wao kama si wote ni wanafiki, bado hawataki kutuelewa wananchi tunataka nini na maendeleo gani! Pamoja na unafiki wao, unafiki wa sitta una nafuu kwetu kuliko ule wa Lowassa... Sina shaka sitta ndo anaenda chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.