Nimemshauri Mara nyingi sana nimsindikize hospitali akapate tiba lakini hataki kabisaa unasema ye yuko fiti wakati Mimi naona hayuko fiti kabisaa, nikimshauri hata kufanya mazoezi hataki kabisaa kusikiaa, wakati yule mpenzi wangu alikua anapenda mazoezi na sometimes tulikua tunaenda wotee yeye...
Kaka N uko sahihi.. Kosa lipo kwangu kwenye uandishi sijaeleweka.. Kwangu Mimi.. Mme na mchumba naona sawa tu.. Hyu kaka kaka anafany kaz sehem flani ivi... So tumewekean zamu za kulala sometime anakuj lala kwangu hata wiki nzma kabisa kwake anafunga na sometime Mimi naenda kaa kwake wiki .. I...
Habarini wana JF..
Kama kichwa kinavyojieleza hapo chini.
Mimi ni msichana wa 26+, Nina mchumba angu nmekaa nae kwenye mahusiano takriban miezi 2, nampenda sana licha ya kua na mapungufu kitandani...yawezekana akawa fiti kwa wasichana wengine lakini kwangu naona haniridhishi vizuri tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.