Nimempa dawa bila ridhaa yake

Nimempa dawa bila ridhaa yake

haki ya mungu we mdada y usimshirikishe kuliko kufanya ulichomfanyia
Nimemshauri Mara nyingi sana nimsindikize hospitali akapate tiba lakini hataki kabisaa unasema ye yuko fiti wakati Mimi naona hayuko fiti kabisaa, nikimshauri hata kufanya mazoezi hataki kabisaa kusikiaa, wakati yule mpenzi wangu alikua anapenda mazoezi na sometimes tulikua tunaenda wotee yeye huyu anapenda sigara na mikonyagi tu.
 
mmh! hadi umefungua ID mpya kwa ajili ya huu ujumbe wako.
Sijaelewa umesema ni mchumba wako ambaye mna miezi miwili, sasa iweje tena ghafla kawa mume mnaishi pamoja hadi unampikia chai, mara umetoka kuoga akavuta baada ya dawa kufanikiwa na mengineyo!!!! ngoja niombe msaada kwa Jiwedogo na Mwifwa wanieleweshe.
Chai jabaa!!
 
Mwanaume bora usemwe kwamba huhongi, lakini sio eti humfikishi mwanamke
 
Ngoja sie wagonjwa tunao kuna papachu kwa dk 60 bila dawa tukae kimya baana bahati mbaya tukiwekewa hizo dawa tunaweza sugua kwa masaa kumi nonstop
 
Back
Top Bottom