Zitto anasema anamiliki freelander na carina, hii land-cruiser ameiuza?, na hii Nissan anaifanyia biashara gani, Zitto hajawahi kutaja umiliki wa hizi gari, haoni kama Mkono kamuumbua, njia ya mwongo ni fupi,
angalau mkono kakubali kwamba huwa wanaongea na Lissu wakiwa kwenye kamati, who knows...
una au huna, namshukuru Mungu taaluma yangu inaniwezesha kufanya kazi popote, nimemshauri atafute sehemu nyingine sababu hapo hata ufanisi hautakuwepo na kuendelea kulalamika hakumsaidii hakuna atakaemsikiliza, wenye mamlaka ya kumsaidia wako busy wanakula hawataki usumbufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.