Recent content by Grammmy

  1. G

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi na Tundu Lissu wanastahili kuwa kwenye Serikalli ya Rais Samia

    Kabudi alimwaga sana madini nje ya mfumo , kaingia kwenye mfumo kakana madini yake sasa mtu wa namna hii huwezi kumuamini hata siku moja, it was a good test na akafeli. Kifupi haaminiki tena. Lissu ana tatizo la ujuaji na jazba na mara nyingi hutumia maneno makali pasipo na sababu, unaweza kuwa...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi na Tundu Lissu wanastahili kuwa kwenye Serikalli ya Rais Samia

    Kabudi tumemuona awamu ya JPM , huyu bwana uongozi hauwezi kabisa kifupi alikuwa exposed kirahisi sana, Professor anafika mahali anasema ametolewa jalalani 😂😂😂 na bado unaona ni kiongozi . Hatuhitaji watu wa kupinda pinda maneno ili kumfurahisha mtawala. Lissu ni mpinzani mzuri ila si kiongozi...
  3. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CAF yathibitisha tarehe ya draw ya hatua ya mtoano ni Jumanne March, 12 mwaka 2024

    “Mara hii Tanzania imeingiza timu mbili robo fainali baada ya Yanga kubahatika kuingia robo fainali kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe hivyo kuungana na simba ambayo imekuwa ikifika hatua hii mara kwa mara
  4. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Facts! Foreign Players wa Simba wengi kawaida sana!

    Hao wachezaji wa ndani mnaowasifia mbona hawatakiwi na timu za nje kwa dau kubwa ?
  5. G

    JamiiForums Tanzania Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kituo cha mafuta kiingize kodi ya mil 500 kwa mwezi. Hakuna kituo cha mafuta nchi hii kinaweza ingiza kodi hata robo ya mil 500 hakuna? Hizi data mnazipataga wapi ? Muwe mnajaribu ku research kidogo wakuu
  6. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huawei bado ipo au walishafanyiwa figisu na USA?

    Siyo kweli , Huawei imejikita kwenye kilimo cha matikiti kwa sasa .
  7. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi hapa Jezi mpya za yanga zavuja kabla uzinduzi

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  8. G

    JamiiForums Tanzania Felchesmi Mramba: Bwawa la JNHPP ni mara 10 ya bwawa la Kidatu lililojengwa kwa miaka 5

    La ethipia sidhani kama project nzima imeisha .. nafikiri ndo kwanza wamejaza maji awamu ya kwanza na inaweza chukua zaidi ya 3 yrs . Hizi project si mchezo. Kujaza maji tu ni miaka achana na kujanga
  9. G

    JamiiForums Tanzania Mchumba (Mke) njoo inbox tuongee

    Long story short: I am 34 yrs of age Tall Living & Working in Dsm Born in Dsm Bachelor degree Never married Christian (Not much devoted) A kind of a lady am looking forward to be my love should be , 25-33 yrs, somehow tall (not a must) Living in Dsm (not a must) beautiful, caring and...
Back
Top Bottom