Recent content by gracita

  1. gracita

    Bungeni Dodoma: Nukuu tata za wabunge wa CCM bungeni leo

    Yan hapa magufuli anawasikilizia tu...mana yeye ndio anamtuma bashite ole wake mwigulu afungue bakuli lake...bashite hapo bichwa kubwa kuwa na bae mkulu raha sana unafanya unachotaka
  2. gracita

    TWIST: Wanajiteka, Wanasingizia, Wanaogofya, Wanatisha

    Kwa hyo nape alijitolea bunduki, clouds walijiteka, bashite haitwi makonda, wauza madawa wa bashite wamekamatwa wote,... Bashite na kampuni yako msitufanye wajinga kila kitu mnasingizia wauza madawa sasa hivi michanga mara madili..watu hawana ajira, viwanda bado ndoto...basi na wajiteke tu ipo...
  3. gracita

    Spika awataka Freeman Mbowe na Halima Mdee wafike mbele ya Kamati ya Maadili. Matusi yawagharimu

    Spika nae wakati mwingine huwa ana maneno ya kukera..ila ile fala ilikuwa ya kigwangala sio ya spika..hili lipite sasa turudi kwa bashite mwizi wa vyeti.
  4. gracita

    Rais Magufuli akimaliza muda wake wengi watammiss sana

    Magufuli hana historia ya kumisiwa...wizara zote alizopitia hakuna hata wizara moja wanammis..kwanza alikuwa akihamishwa wanashukuru sembuse wana kagera aliotulia michango yetu..!! Kumisiwa ataendelea kuota tu
  5. gracita

    Bunge Letu Kila Mtu ana "Black Belt" kama Jackie Chan?

    Bunge zuri sana na waendelee kuonyesha live tunapata muda wa kuwajua wabunge wetu....mambo ya kusemeana mbovu ni ya kibinadamu..wanaprovokiana unategemea nini?!
  6. gracita

    Makonda ataka TAKUKURU kuwachunguza watendaji wa mkoa wa Dar-es-Salaam kwa tuhuma za ubadharifu

    Yeye wameshamchunguza...?!! Huyu ameiba cheti, kavamia kituo cha habari, anatumia magari ya aliowatuhumu ni wauza unga..
  7. gracita

    Hivi CHADEMA mtawaambia nini wananchi wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020?

    Yani bado mnatoa ahadi tu?!...Mi nilijua keshafanya kumbe ndio kwanza atafanya...mnatia kinyaa bora mnyamaze tu.
  8. gracita

    Ubunge wa EALA: CHADEMA hatukukosea, tutaenda Mahakamani kupinga Uchaguzi

    Uchaguz si ni kesho?! Sidhani kama watawahi, watazungushwa mahakamani hadi muda upite..kwa nini wasimalizane huko huko bungeni?
  9. gracita

    Ubunge Afrika Mashariki, CHADEMA hawapati kitu

    Asante bashite...
  10. gracita

    Ubunge Afrika Mashariki, CHADEMA hawapati kitu

    Mkumbo yes kwa sababu ni mccm mwenzako?..wenje ana uwezo wa kupambanua mambo kwa ufasaha halafu sio muoga anafaa..Masha asubiri mwakani
  11. gracita

    Ubunge Afrika Mashariki, CHADEMA hawapati kitu

    Kwa hiyo huyu ndio ana uwezo.!??
  12. gracita

    Niazime jicho nione uchapakazi wa RC Makonda

    Kazi yake hyo
  13. gracita

    Shy-Rose Bhanji sema ukweli wa kilichofanya ukatwe au kaa kimya

    Kuhonga ccm ndio kawaida yenu...
  14. gracita

    Hivi kulazimisha Ubatizo kwa Rc Makonda ili awe Bashite kuna tija kwa Watanzania ?.

    Tija kubwa sana..yani uwizi wa cheti unasema sio tija? Ndio mana kuna sheria ya kuwadhibiti...Ethiopia isuburi kwanza tumalize hili la bashite
  15. gracita

    Jinsi ya kumpendekeza Maxence Melo kwenye Tuzo ya Human Rights Tulip

    Hizi taarifa ni za kwel..isije ikawa magufuli na trump na tbc?!
Back
Top Bottom