Bungeni Dodoma: Nukuu tata za wabunge wa CCM bungeni leo

falcon mombasa

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
9,189
9,298
KAULI ZA WABUNGE WA CCM BUNGENI LEO 11/04/2017

Hivi Waziri wa Habari alikwenda kufanya nini katika Press ya Roma, mkiambiwa mlimteka mtakataa? Bora kusema ukweli kuliko kukaa kimya, najua mtasema kwa kuwa nilikosa uwaziri No! - Juma Nkamia (CCM)

Mimi nimekamatwa na kuteswa na Usalama wa Taifa. Nimenyanyaswa sana nchi hii. Ikibidi mnifukuze CCM (machozi) - Hussein Bashe (CCM)

Hakuna sababu ya Mwigulu kuendelea kukaa kimya wakati wananchi wanaishi kwa wasiwasi juu ya usalama wao. Kutoa kauli kunasaidia kutoa hofu. - Ridhiwani Kikwete (CCM)

Mimi ni miongoni mwa wabunge niliotishwa na Mkuu wa mkoa wa Dar, na mpaka sasa mimi sikanyagi Dar licha ya kuimisi sana - Hillary Aeshi (CCM)

Jamani ifike hatua sasa Rais Magufuli ajitafakali upya. CCM imepasuka vipande na serikali yake kwa ujumla imepasuka vipande. Serikali imekosa umoja wa kitaifa kila siku ni new series.

Hakuna anayekumbuka kukuza uchumi sasa kila mtu anawaza ni muda gani atauwawa
 
Namini kwa kinachoedelea Bungeni kama mtu unajua kuchekecha mambo kamwe hautampuuza Roma Mkatoliki na kwamba ati "alijiteka".

Nukuu za Wabunge leo:

"Nipo tayari kuthibitisha kwamba waliovamia Clouds Tv ni Usalama wa Taifa kutoka kikosi cha Ulinzi wa Rais, Nipo tayari pia kuthibitisha aliyemtoloea bastola Nape ni Usalama wa Taifa" Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo)

"Hivi Waziri wa Habari alikwenda kufanya nini katika Press ya Roma, mkiambiwa mlimteka mtakataa? Bora kusema ukweli kuliko kukaa kimya, najua mtasema kwa kuwa nilikosa uwaziri No!" Juma Nkamia (CCM)

"Mimi nimekamatwa na kuteswa na Usalama wa Taifa. Nimenyanyaswa sana nchi hii. Ikibidi mnifukuze CCM (machozi)". Hussein Bashe (CCM)

Hakuna sababu ya Mwigulu kuendelea kukaa kimya wakati wananchi wanaishi kwa wasiwasi juu ya usalama wao. Kutoa kauli kunasaidia kutoa hofu" Ridhiwani Kikwete (CCM)

Mimi ni miongoni mwa wabunge niliotishwa na Mkuu wa mkoa wa Dar, na mpaka sasa mimi sikanyagi Dar licha ya kuimisi sana" Hillary Aeshi (CCM)

Tafakari, Chukua hatua

Na Yericko Nyerere
 
Namini kwa kinachoedelea Bungeni kama mtu unajua kuchekecha mambo kamwe hautampuuza Roma Mkatoliki na kwamba ati "alijiteka".

Nukuu za Wabunge leo:

"Nipo tayari kuthibitisha kwamba waliovamia Clouds Tv ni Usalama wa Taifa kutoka kikosi cha Ulinzi wa Rais, Nipo tayari pia kuthibitisha aliyemtoloea bastola Nape ni Usalama wa Taifa" Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo)

"Hivi Waziri wa Habari alikwenda kufanya nini katika Press ya Roma, mkiambiwa mlimteka mtakataa? Bora kusema ukweli kuliko kukaa kimya, najua mtasema kwa kuwa nilikosa uwaziri No!" Juma Nkamia (CCM)

"Mimi nimekamatwa na kuteswa na Usalama wa Taifa. Nimenyanyaswa sana nchi hii. Ikibidi mnifukuze CCM (machozi)". Hussein Bashe (CCM)

Hakuna sababu ya Mwigulu kuendelea kukaa kimya wakati wananchi wanaishi kwa wasiwasi juu ya usalama wao. Kutoa kauli kunasaidia kutoa hofu" Ridhiwani Kikwete (CCM)

Mimi ni miongoni mwa wabunge niliotishwa na Mkuu wa mkoa wa Dar, na mpaka sasa mimi sikanyagi Dar licha ya kuimisi sana" Hillary Aeshi (CCM)

Tafakari, Chukua hatua

Na Yericko Nyerere
Ukombozi umefika, naona tunaanza kuongea kauli moja.
 
Ninachoona wabunge vijana wanaona kuna watu wanazingua,wameamua kuwapa za USO

Nape alisema "kuna watu wanafikiri wanaweza kuwapangia vijana wa nchi hii nini cha kuwaza.......kuna watu wanadhani wanaweza kukorogakoroga mambo hivi......the only thing to fear is fear itself....."

Kinachoendelea bungeni the youth now dont fear the fear,wanajua hata ccm ikiwazingua jimboni wanapita kwa tiketi ya Chama chochote hata cha hashim rungwe
 
Back
Top Bottom