Recent content by GPTZ

  1. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ahudhuria ibada ya Pasaka kanisa la KKKT

    Kanisani ni amani Tele wewe
  2. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Pasaka: Asili, umuhimu wake na tamaduni zetu

    Asante likemike
  3. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Pasaka: Asili, umuhimu wake na tamaduni zetu

    Katika jamii ya waamini Ulimwengu wa Kikristo, Kesho nisiku Muhimu ya Kuazimisha Ufufuo wa Yesu Kristo. Tunatarajia Kupata au kusikia matamko ya Viongozi wetu wa imani kutoka kwenye madhabahu mbali mbali za makanisa. Mala nyingi viongozi haswa wa Tanzania utumia sikukuu hizi kutoa yao ya...
  4. GPTZ

    JamiiForums Tanzania TB Joshua ampaisha tena Rais Magufuli

    Nani kakwambia
  5. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la Joto Dsm

    Hivi nikiwango gani cha joto (nyuzi joto) kikifikia hapo serikali Inatangaza hatari? Kama wenzetu Qatar ,kazi ni saa Moja hadi saa nne asubh . Mnaingia tena saa kumi jioni.
  6. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zanzibar: NAITABIRIA CCM USHINDI WA 60%

    Kutokana na wazenji wengi kuamasika na kaulimbiu ya "Hapa kazi tuu " nidhahiri ccm itaibuka kidedea. Wengi mnaweza kunipinga lakini Kubali kataa kwa ccm Magufuli ni madini . Magufuli kaifanya ccm ipendwe mnoooo.
  7. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Ni baba mchungaji au mbunge! dini na siasa

    Wee!! Simba imepiga mtuu??""
  8. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Hivi katika Miji ya wenzetu kwenye makazi ya watu nyumba za ibada imefunga loudspeaker kwa nje?

    Hivi kipaza sauti ni swala la imani au? naomba kusaidiwa
  9. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Rais Magufuli katambua promo ya cloud
  10. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Dangote Mtwara apandishwa kizimbani

    Kama taarifa hiyo nikweli basi jibu limepatikana. Hawa ndio wanatufanya tuwe maskini
  11. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Magufuli: IPTL ni mkataba wa ovyo, Serikali haitaendelea nao!

    Angetangaza rasmi kama Rais wanchi kwamba Serikali imasitisha mkataba wa IPL.
  12. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ateua Wakuu wa Mikoa, Makonda apangiwa Dar

    Yule Bonge wa Kilimanjaro yuko wapi siku hizi
  13. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amtembelea Maalim Seif, Serena Hotel

    Maalim seif kamaliza Kazi. Kaonesha nikwajinsi gani hana muda tena na siasa za ndimu changa
  14. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza Operesheni Kamata Makahaba na wateja wao

    Nadhani amekurupuka. Angemuuliza na mmewe kama hii kitu ifungwe au?
  15. GPTZ

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza Operesheni Kamata Makahaba na wateja wao

    Tangaza basi kuwa Tanzania ni nchi ya Dini.
Back
Top Bottom