Wakuu habari,
Najiuliza serikali Yetu inashindwa wapi?, Abbasia ya ndanda nyenye wakazi wengi tu!! Wana umeme wao wa maji, umeme ni masaa 24, haukatiki, maji yao pia ni safi sana na ni 24hrs hayakatiki!
Serikali tunashindwa wapi kuwahudumia wananchi wetu
Mimi nafikiri Ifike hatua tufikie...