Recent content by Gpaghy

  1. G

    Hujachanjwa, hupewi huduma

    Umechanganya vipindi
  2. G

    Ditopile atua Ngorongoro kuiombea CCM kura na kueleza makubwa anafanya Rais Samia

    Wamefanikiwa sana kwenye Tozo! Vyitu kupanda bei,na kusafiri sana, hilo wamelitelekeza kwa vitendo! Hakika wapinzani walituchelewesha sana
  3. G

    Polepole ni kama alisahau kitu kule Sekretarieti ya CCM

    Anatoa ushauri, yeye ana uzoefu wa kupora uchaguzi, na ununuzi wa wapinzani
  4. G

    Kigwangalla: Nimekuwa Mbunge miaka 11, ila Rais Samia amefanya mambo sijawahi kuona

    Serikali imeleta sio ya samia, Tozo zetu hizo!! Tozo tutozwe wananchi kusifiwa Asifiwe mmoja tu! Mambo ya ajabu kweli
  5. G

    Nasumbuliwa na ndoto za nyoka

    Mkuu ndoto kwenye maandiko huashiria shetani, inategemea na ukubwa wa huyo nyoka!! Akiwa mdogo hayo ni mapepo, akiwa nyoka mkubwa mwenye vichwa vingi huyo ni shetani mwenyewe, Hizo ndoto zinakomeshwa tu kwa KULITAJA JINA LA YESU PAMOJA NA DAMU YA YESU KWENYE , ukizipuzia hizo ndoto kifo...
  6. G

    Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

    Akina msiba walikuwa na cheo gani kwa kuwasema viongozi wastaafu ???? Mbona haukukemea???? Umesahau
  7. G

    Miaka 60 ya Uhuru bado kuna Mgao wa Maji

    Wapinzani walituchelewesha mno!!
  8. G

    Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

    Wapinzani walituchelewesha mno
  9. G

    Uongozi mbovu ndo unasababisha bidhaa kupanda bei na Kukosa maji na Nishati

    Nauli zimepanda sana!! Wapinzani walituchelewesha sana!!
  10. G

    Rais Samia muwajibishe Gerson Msigwa na Mramba, wameongopa kuhusu ongezeko la uzalishaji umeme

    Akiajibishwa huyo na waziri mkuu Naye awajibishwe??? Viongozi wetu hawa wa sasa ni waongo sana, Hamna wa kumwamini!! Uongo ndo uliowatawala
  11. G

    Abbasia ya Ndanda umeme wake 24hrs

    Wakuu habari, Najiuliza serikali Yetu inashindwa wapi?, Abbasia ya ndanda nyenye wakazi wengi tu!! Wana umeme wao wa maji, umeme ni masaa 24, haukatiki, maji yao pia ni safi sana na ni 24hrs hayakatiki! Serikali tunashindwa wapi kuwahudumia wananchi wetu Mimi nafikiri Ifike hatua tufikie...
  12. G

    Miaka sita tangu kuuawa kikatili Kamanda Mawazo

    Hili tukio lilikuwa la kinyama sana, ni moja ya matukio yaliyofanya kuondoa imani yangu kwa jiwe
Back
Top Bottom