toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Tulikua tushasahau haya mateso lakini toka huyu awe waziri matatizo yamerudi kama miaka ya 2006 huko
Tuna bahati mbaya sana sisi wakazi wa ubungo sio maji sio umeme hatuna chochote hadi sasa
Mwezi wa pili bila kuona tone la maji bombani huku umeme ulikua hausumbui lakini sahivi matatizo yameanza
Hatuna umeme hadi sasa tupo gizani huyu makamba angejiuzulu tu hakuna alichofanya bora kalemani angebaki tu
Sijui kwanini kalemani alitolewa nchi imerudi kwa wenye nchi yao sawa tumekubali lakini turudishieni umeme huku ubungo
Tuna bahati mbaya sana sisi wakazi wa ubungo sio maji sio umeme hatuna chochote hadi sasa
Mwezi wa pili bila kuona tone la maji bombani huku umeme ulikua hausumbui lakini sahivi matatizo yameanza
Hatuna umeme hadi sasa tupo gizani huyu makamba angejiuzulu tu hakuna alichofanya bora kalemani angebaki tu
Sijui kwanini kalemani alitolewa nchi imerudi kwa wenye nchi yao sawa tumekubali lakini turudishieni umeme huku ubungo