Wana JF,
Baraza la Mitihani Tanzania mwaka uliopita wa 2015 liliendesha mitihani ya darasa la nne kama ilivyo ada.Lakini mwaka huo wa 2015 ilifanya mabadiliko kidogo katika usahihishaji kwa kuendesha zoezi hilo la usahihishaji kimkoa kwa usimamizi wa moja kwa moja wa NECTA.
Hapa Kagera zoezi...
Kuna hao mabosi uchwara wa hapo ni matapeli wakubwa. Walinitapeli laki 4 wanipe kazi. Kuna jamaa anajiita Tinga yeye ni HR wa hapo keshayembea na wasichana na wanawake wengi wanaoomba kazi hapo kwa lengo la kuwasaidia waipate. Kuna mtu wake wa karibu anasema huyu jamaa kesha kanyaga miwaya kwa...
Hawa jamaa ni matapeli wakubwa. Mimi walinipiga laki 4. Nilikuwa nataka kazi hapo. Kuna jamaa anaitwa Tinga ni malaya sana ameshafanya mapenzi na wasichana wengi waliokuja kuomba kazi hapo. Inasemekana kesha kanyaga miwaya maana anakula zile dawa. Kuna huyo Singo halafu kuna jamaa anajiita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.