Recent content by gothoki

  1. G

    Ufugaji wa ngamia

    Naomba unielekeze vizuri kwa nan haswa wanapatikana ninahitaji na mimi kama wawili kiongozi
  2. G

    Ufugaji wa ngamia

    Umefanikiwa kupata Ngamia ndg? Na kama ndio umepata wap na kwa sh ngap bei ya sasa Naongelea madume wakubwa na majike wakubwa
  3. G

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Ninazo original zake kama bado unazihitaji lakini nikutumie
  4. G

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Habarini waungwana Mwenye nyimbo ya Nitamwandama bwana alienikomboa ule old version hawa ndo naupenda huu uliotoka miaka saba 2013 sijaupenda . Na kuna mwimbo wa zamani sijui waliimba choir gan unaimbwa Yuda alikufa sababu ya kupenda pesa wanadamu wengi tumetawaliwa na pesa pesa inauwaaaaaaaa
  5. G

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    This season madrid fans hakikisheni mna [emoji382] za insulin kucontrol sukari ya mwili [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. G

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Aongezwe tena tu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. G

    Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. G

    Tigo acheni wizi!

    Hawa kawaida yao yan mimi nina mwaka wananifanyia ujinga huo kila nikiweka salio.....linaisha na ukiwauliza wanasema tigo hadithi nikaaa nafwatilia taratibu nikajua ni michezo yao kuwakata hela watu kilazima Mara ya mwisho nimeongea na customer care wao alinijibu ivo niliongea sikutaka...
  9. G

    HALOTEL haifai watanzania tuachane nayo tukatumie TTCL ili tukuze shirika letu.

    Unaeza kununua ttcl vocha kwa tigo pesa kwa iyo sio changamoto snaa kweny swala la vocha
  10. G

    Nimeokota begi lina mil 92.hapa maeneo ya segerea kma unaelekea kinyerezi

    ....it cant be trueeeeeeee tanzaniaa hiii mtu kuokota 92 mil....mmmhhhh ubunuasi kazid kwa kwel
  11. G

    Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

    ....inasikitisha sana hasa huku vyuoni nao wamejaaa
Back
Top Bottom