Recent content by gothmog

  1. gothmog

    Hayati Magufuli alikuwa kiongozi mbaya; aliua mifumo ya utawala bora akawadanganya Watanzania na vitu vidogo kama madaraja, stendi, ndege n.k

    Alizalisha mtu mtoto kwenye ukok weni kisha akamkataa? Hayo ndo mambo ya hovyo kama aliyafanya.
  2. gothmog

    Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

    Nenda kamfulie huyo bibi chupi zake acha uchawa bandia Kwa hiyo hata wewe huwezi kuona ujinga miaka yote hiyo toka uhuru mnashindwa kuendesha bandali tu? Kama hamuwezi si mumpe hata kagame ni jirani tunaweza hata kumgomea mambo yake. Mfumo wa tehama tunashindwa kuununua wenyewe?
  3. gothmog

    Tuliposema mazao yasiuzwe nje hatukueleweka, sasa hatuna cha kufanya!

    Kawaone huko waliko hali zao bado ni mbaya hata pesa ya kununua hicho chakula tena walichouza hawana tena.
  4. gothmog

    DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

    Sasa hivi kila mtu huko serikalini anajibu tu baada ya kuona watu wamecharuka na hawataki ujinga. Hivyo wanaziba viraka kutokana na maoni ya watu keep sha wanataka wachukue point 3 bila kucheza.
  5. gothmog

    Waheshimiwa Wabunge kabla ya kikao pitieni hapa

    Nakumbuka zamani mwalimu nyerere zamani akizinga zanzibana tanganyika kwa kuhofia warabu na sasa wanaletwa chumbani hii ni ajabu kweli? Kama ndivyo muungano wa nini maana sisi bara hatuna faida nao na kama tume elimika basi hatuhitaji muungano maana upande mmoja haufaidiki nao.
  6. gothmog

    Tulimsuta Ndugai akaomba radhi na kulazimishwa kujiuzulu. Leo mnalia nini?

    Tatizo hiyo miaka 15 endapo hawatafanya vizuri je hasara kwa nchi si itakuwa kubwa sana? Kinachotakiwa hapa ni kuweka mikataba yenye maslahi ya kila mwaka, na wapeqe sehemu tu ma sio bandali zote full
  7. gothmog

    Ndugai atusamehe, alisema nchi itapigwa mnada hatukuelewa

    Kikeete akaleta wahindi kwenye reli ikafa kabisha sasa wanataka kuuwa bandali na uchumi wa nchi Kuna watanzania wako kwenye madaraka hata hawajitambui nadhani wapo tayaru kutoa hata roho zao ili zipangiwe jinsi ya kupumua Kwa kua akirili zao haziwezi kuandaa mazingila ya kupumua wenyewe.
  8. gothmog

    Najaribu kumlaumu Rais Samia nashindwa. Nakosa pozi

    Mshana punguza hasira hiyo ndio maana ya wajanja wa mjini walivyo, hamkutaka washamba sasa watoto wa mjini wanawaonyesha mitaa ilivyo na kwamba nyie mliowashabikia mnarudi kuwa washamba Hapo zamani nakumbuka mtu alikua akifanya kazi serikalini kisha akaiba mari tunamuita mjanja na asipoiba...
  9. gothmog

    Nani aliwachagua kuwa viongozi wa dunia? G7 ni viongozi wa nchi 7 tu si zaidi ya hapo

    Sasa ukikataaa unasidia nini? Nyie wenyewe kila mkipata shida mnakimbilia huko kifedha kisiasa na kila kitu sasa mkishaenda wote si lazima ataona yeye ni baba lao
  10. gothmog

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Nadhani ungefatilia usingeuliza hili la ukreni kupiga urusi Kama angeruhusiwa hata urusi ingekuwa na maumivu mabaya ila wanazuiwa sana na mghalibi na ndo maana siraha za maghalibi hazitakiwi kurushwa urusi kwa kuwa wanajua urusi itasikia maumivu na kuamua kutumia nyukria kwa kisingizio cha...
  11. gothmog

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Lengo la putini ni kurudisha ukreni yote iwe ya urusi na ndo lengo na alishasema yeye ni peter the great. Na bdo anataka moldova pia. Romania na poland wangekuwa sio ndani ya NATO nao yangewakuta.
  12. gothmog

    Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

    Kuna wazito wameenda kuhakikisha kama kweli amekufa gusa ninuke kachero mbobezi Maana walidhani yeye hatakufa. Bado makamba pia wanasubuli kuhakikisha hilo. Cha kumshauli siku ya kifo chake ajifiche tu au aruke aende kwa watakatifu na maneno yake yatapata uhalali.
  13. gothmog

    Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

    N hiyo Na hiyo gari kwa nini ilikua na vitu vya marehemu? Na vingine vikutwe kwa huyo sanga?
  14. gothmog

    Lilongwe: Watanzania Washangilia Balozi wa Tanzania kuondolewa, yadaiwa alizorotesha Mahusiano ya Ubalozi na Watanzania wenzake

    Iko siku utahama nchi utakapo mkuta yuko kiti cha mbele kwenye nchi hii, La sivyo maumivu ya moyo yata kutoa roho.
Back
Top Bottom